Tuesday, February 12, 2013

CCM YATANGAZA WAJUMBE WAPYA WA KAMATI KUU.

 
 
DODOMA-TANZANIA, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imewachagua wajumbe wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri  Kuu Taifa wa chama hicho.

BARA:
 1.Ndg Stephen Masatu Wasirra. 2. Ndg Jerry Silaa. 3. Ndg William Lukuvi.

4.Ndg Alhaj Adam Omari Kimbisa. 5. Ndg Prof Anna Kajumulo Tibaijuka.

6.Ndg Pindi Hazzara Chana. 7. Ndg Emmanuel J Nchimbi.

Wafuatao kura hazikutosha-Bara

-Ndg Chriss Chami, Ndg Said Mtanda, Ndg Mohammed Nyundo,
-Ndg George Mwanisongole, Ndg Michael Lekule Laizer.
-Ndg Dr Fenela Mukangara, Ndg Anthony Dialo, Ndg Raphael Chegeni na wengine.

VISIWANI:

 1.Ndg Dr Salim Ahmed Salim, 2. Ndg Prof Makame Mbarawa.
 3.Ndg Dr Hussein A Mwinyi, 4. Shamsi Vuai Nahodha.
 5.Ndg Dr Maua Abeid Daftari, 6. Ndg Khadija Aboud.
 7.Ndg Samia Suluhu Hassan.

Wafuatao kura hazikutosha- Visiwani

Alli A Karume, Juma Shamhuna, Mohammed Aboud na wengine

Kutokana na uchaguzi huo baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamempongeza Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Rais Jakaya Kikwete pamoja na wajumbe kwa kuichagua timu hiyo. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mtandao wa www.habarimasai.com umeelezwa kwamba wajumbe waliochaguliwa ni makini na kwamba CCM ina imani nao kuwa wataivusha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

No comments:

Post a Comment