Sunday, February 17, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUTANGAZWA LEO.

http://70.85.226.211/~tbcgo/images/Philipo%20Mulugo.jpg
Naibu waziri wa Elimu Bw.Philip Mulugo


DAR ES SALAAM-TANZANIA,
Baada ya tetesi za muda mrefu hatimaye matokeo ya kidato cha nne kutangazwa rasmi leo, kwa mujibu wa naibu waziri wa elimu Bw. Philip Mulungo alipokuwa akiongea na Gazeti la Nipashe, amethibitisha kuwa maandalizi yote ya kutolewa matokeo yalikuwa yamekamilika hapo jana na leo Tarehe 18.02.2013 yatatangazwa rasmi.

No comments:

Post a Comment