Saturday, December 28, 2013

Who are the best and worst celebrity neighbors? Find out who made the lists!

"There goes the neighborhood." That seems to be the would-be consensus if Kim Kardashian and Kanye West were to move in to any particular community. 
Real Estate website Zillow has named the newly-engaged couple the least desirable celebrity neighbors of 2013. Zillow cites the couples reputation for "living an over-the-top lifestyle, with drama and the paparazzi never too far behind."  It says "No one wants to live next door to a family who has cameras following them everywhere and seems to seek out as much attention as possible." 
The cast of "Here Comes Honey Boo Boo" also made the undesirable neighbor list, ranking second ahead of Justin Bieber and Mile Cyrus who tied for third.

On the flip side, late night funnyman Jimmy Fallon was named the most desirable next-door celeb on Zillows seventh annual Celebrity Neighbor Survey.  Fallon was cited for his "positive, funny and relatable vibe." 
Country couple Miranda Lambert and Blake Shelton tied with Oscar winner Jennifer Lawrence for second place on the most desirable celebrity neighbor list. Interestingly enough, Kim and Kanye also showed up on the desirable list, although at the very bottom with just two percent of votes.

Zillow Celebrity Neighbor Survey

Most Desirable Neighbors for 2014:

Jimmy Fallon
Miranda Lambert and Blake Shelton
Jennifer Lawrence
Sofia Vergara
Robin Roberts
Lebron James
Kim Kardashian and Kanye West


Worst Neighbors of 2013:

Kim Kardashian and Kanye West
Cast of "Here Comes Honey Boo Boo"
Justin Bieber
Miley Cyrus
Lady Gaga
Alex Rodriguez
LeBron James

One Direction & Beyonce Make List of Most Charitable Stars Find out who else made the list!

One Direction has come just shy of topping the annual DoSomething.com list for the years Most Charitable Stars. 
The British boy band are runners-up this year behind country star Taylor Swift, who is receiving the top honor for the second year in a row.  The charity site is applauding One Direction for partnering with BBCs Comic Relief to volunteer in Ghana.  Later in the year, Harry Styles and Liam Payne teamed up to raise an impressive $800,000 for a U.K.-based cancer research group using the site Prizeo.com. 
Coming in behind the boy band on this years list is Beyonce, who used her starpower to call attention to womens rights with the "Chime For Change" concert.

Other charitable musicians in the Top 20 include rap duo Macklemore & Ryan Lewis, Carrie Underwood, Alicia Keys, Demi Lovato, Miley Cyrus, Blake Shelton and Justin Bieber. 
The late Paul Walker came in at number four this year.  The actor lost his life in a car crash the same day as hosting a charity event to raise money for typhoon victims in the Philippines.

American Idol' Wins Top Searched TV Show Of 2013!

Give a big round of applause for Jennifer Lopez, Keith Urban, Harry Connick, Jr. and our very own Ryan Seacrest cause American Idol was the number one most searched for TV show of 2013!
According to Yahoo! the singing competition show scored the most internet searches this year while runner ups include fellow competition show Dancing With the Stars and A&E’s Duck Dynasty.
Check out the complete list of shows below. Are you surprised by any? Sound off in the comments below!
Top-Searched Television Shows on Yahoo in 2013:
1. American Idol
2. Dancing With the Stars
3. Duck Dynasty
4. The Walking Dead
5. Young and the Restless
6. Game of Thrones
7. South Park
8. Breaking Bad
9. Big Bang Theory
10. The Voice

WATCH: Miley Cyrus Releases 'Adore You' Music Video


 
She released the sexy new video early after it leaked online

Dec 26, 2013
Writhing between bed sheets in sheer underwear, Miley Cyrus is capping the year with another sexy new video. 
The five-minute clip for Cyrus "Adore You" was leaked on Christmas Day, just ahead of its promised Thursday release date.
Miley didnt take too kindly to whoever wrecked her post-Christmas video release plans, tweeting Wednesday that her fans, who she called "Smilers," likely would have broken another record if it wasnt for someone leaking  her video.  She then added, "Alllll good! Keep smiling."

Before the official release of her "Adore You" music video, Cyrus posted an Instagram pic of herself and the family play fighting on Christmas Day near their Christmas tree, adding the caption, "Annual family fist fight."
Watch Mileys "Adore You" video below! **WARNING: NUDITY**

Cee Lo Green joins 'X-rated Lady Gaga and a ghastly husband Liza Minnelli


Liza Minnelli cuts a tiny figure curled into an oversized chair in her riverside hotel suite. The fathomless black eyes are the only sign of animation in a face the colour of parchment.

She’s wearing silver, high-heeled pixie boots, black velvet trousers and a black hoodie with white skull-and-cross-bones appliquéd up each sleeve, the last thing, apparently, in current New York chic.

If she will forgive the observation, she looks like death warmed up. She smiles that crooked smile. ‘Listen honey, I’m not jet-lagged,’ she says, pulling on an ever-present Marlboro Lite. ‘I’m jet-thumped. I don’t know whether I’m coming or going.’

Ten days ago, she left New York with her lifelong friend Rock (son of Yul) Brynner for Vladivostok where he was tracing his lineage. ‘We’ve known each other since we were five. He’s the first boy I ever kissed.’

She then flew to London (via Korea) to perform at the White Rose Ball this Sunday in aid of the Holocaust Centre in Nottingham. ‘The more we educate young people about the terrible things that happened,’ says Liza, ‘the less likely they could ever happen again.’

At 65, the woman is unstoppable. Four marriages, two hip replacements, one new knee, a near-fatal bout of viral encephalitis, Liza has survived them all. ‘I’ve been down,’ she says, at one point, ‘but I’ve never been out.’

Unlike her mother Judy Garland, who died in London in 1969, awash with booze and pills, aged 47 — and about whom she is ‘bored, bored, bored’ of talking.

But while we’re — briefly — on the subject, she does let slip a sweet, rather revealing tale about Judy.

As a child, she’d wait in the wings at Garland’s concerts, a trembling cup of tea in her hand to deliver to her mother when the final curtain fell.

‘One day, I said to her: “Mama, why are you always so sad when you sing Over The Rainbow?” She looked at me. “It’s what they want,” she said. “Now let’s go get a hamburger.” Forget anything you’ve read. That’s how I remember her. That’s my reality.’

Heidi Klum Flaunts New Fragrance "Shine"


Adding to her already impressive array of products, Heidi Klum unveiled her new fragrance Shine in West Hollywood yesterday (September 28).
The “Project Runway” starlet was all smiles as she hammed it up at the Mondrian Los Angeles to plug her signature scent.

Heidi explained that she put a lot of time and effort into creating Shine. “I worked with this amazing French nose who came from Paris many times to me in Los Angeles and New York when I was working there.

Basically we would just talk about all the things that I love in smells and different roots that I like. He comes over and has all the little sniffing strips. They all have numbers so we don’t mess anything up. You sniff, and sniff, and sniff, all day long.”

“I wanted something that is super feminine, that is very light. My husband definitely got an input in it because I do want to smell good for my husband. He doesn’t like it when I smell too strong. He still wants to smell me with a little bit of perfume.”

Lady Gaga to perform at Arjun Rampal's bar.


Actor Arjun Rampal announced yesterday that the infamous Lady Gaga will be performing at the Formula One after party which will be hosted at the actor's club.
He told The Times of India: "Huge event for India to get a star of her calibre. She has one million Twitter fans and over 40 million Facebook fans. It's a great feeling to get an icon like her to perform at your club at your lounge. She is very excited to come to India and to perform here."
The Airtel Grand Prix of India will take place at the Buddh International Circuit on October 20th 2011.
Gaga will be performing on the 30th of October. And ticket prices are a whopping Rs.40,000.

Anna Faris Reveals Her Number of Sex Partners


Anna Faris candidly revealed that she bedded a total of five guys before marrying her husband, “Moneyball” star Chris Pratt, in 2009.

“I’m at five,” the star said at a screening of “What’s Your Number?” “Don’t you think five is kind of low? I’m 34!” During a pre-screening interview Tuesday night with Marie Claire editor Joanna Coles, Faris added, “I’m not a very good lover. I’m so nervous about my sexuality.”

In the film, Faris plays an unlucky-in-love woman who frets she’ll never find Mr. Right after learning the average woman sleeps with 10.5 men before finding “the one,” and she’s bordering on 20.

VOTE: Should You Ever Reveal Your Number?

“I think 20 is kind of low,” she told Coles. “Shouldn’t it be like 70?” Faris -- who was recently hailed by Tad Friend in the New Yorker as the future of female comedy -- also said that she doesn’t read reviews.

“I try not to read [them],” she said at the Joseph Urban Theatre. “The bad ones really cling. And I’m lucky that I’ve been part of a lot of poorly received movies, so I’m immune. ‘Scary Movie 4’ was a brilliant movie. I’m shocked it didn’t get nominated.”

Hayden Panettiere, Stuart Weitzman, Jim Gold


Led by Vogue editor in chief Anna Wintour, Fashion’s Night Out started three years ago in response to economic doldrums.

“The idea was to get the economy rolling,” said shoe designer Stuart Weitzman. “Now it’s become one of the giant charity events in America.”

At his Madison Avenue boutique Thursday night, Weitzman stood next to a display of the four shoes he designed with celebrities to raise money for ovarian cancer research.

Michelle Trachtenberg was wearing her contribution to the Young Hollywood Cares Collection, a pair of dark blue snakeskin platforms with studs on the heels.

“They’re perfect for Georgina,” she said, referring to her character on “Gossip Girl.”

Hayden Panettiere had climbed into a green Fendi jumpsuit, with black suede booties from the Cares collection.

“If I were wearing stilettos, I wouldn’t be standing here,” said the actress of “Heroes” and “Scream 4” fame. She’d been on her feet for an hour.

As for getting involved in a project that supports ovarian cancer research -- specifically the lab of Dr. Marsha A. Moses at the Folkman Institute in Boston -- “it makes you feel much better about indulging in guilty pleasures, like shopping,” she said.

The shoes retail for between $425 and $498. In the month of September, which is Ovarian Cancer Awareness Month, 100 percent of that amount will go to Dr. Moses.

Lady Gaga to perform at Arjun Rampal's bar


Actor Arjun Rampal announced yesterday that the infamous Lady Gaga will be performing at the Formula One after party which will be hosted at the actor's club.
He told The Times of India: "Huge event for India to get a star of her calibre. She has one million Twitter fans and over 40 million Facebook fans. It's a great feeling to get an icon like her to perform at your club at your lounge. She is very excited to come to India and to perform here."
The Airtel Grand Prix of India will take place at the Buddh International Circuit on October 20th 2011.
Gaga will be performing on the 30th of October. And ticket prices are a whopping Rs.40,000.

'Five' brings out stars to N.Y. premiere



Premiere of Lifetime's Five, an anthology of five short films exploring the impact of breast cancer on people's lives.

The female-led project put a spotlight on famous women taking the director's chair for each of the five shorts, which air as one movie on Lifetime on Oct. 10 (9 p.m. ET/PT). "I have to say Jennifer and Demi, watching them transform from actors to directors was really exciting to watch," said Tripplehorn, who plays an oncologist in all five shorts. "They are naturals, they should do it more often." Clarkson, who plays a feisty survivor named Mia, also raved about Aniston as a director. "I worked with a little someone named Martin Scorsese and a little someone named Woody Allen and let me tell you, Jennifer holds her own."
Aniston, in a low-cut black vest and slim trousers, literally stopped traffic downtown getting out of her SUV as boyfriend Justin Theroux quickly headed inside the venue. Meanwhile, Clarkson walked the carpet with a diamond-encrusted gold leaf necklace around her neck. "This is from Jennifer Aniston," she said with a smile.
Aniston's favorite part about being back in New York? "The people!" she said, as across the street a topless woman photographed the event. "That is brilliant," laughed Tripplehorn. "That's what it's all about right there. We're dealing with breasts tonight. I love New York!"


Guest list:Five directors Jennifer Aniston, Demi Moore, Patty Jenkins, Penelope Spheeris and Alicia Keys walked the red carpet, alongside stars Patricia Clarkson, Jeanne Tripplehorn and Lyndsy Fonseca.

Hayden Panettiere, Stuart Weitzman, Jim Gold


Led by Vogue editor in chief Anna Wintour, Fashion’s Night Out started three years ago in response to economic doldrums.

“The idea was to get the economy rolling,” said shoe designer Stuart Weitzman. “Now it’s become one of the giant charity events in America.”

At his Madison Avenue boutique Thursday night, Weitzman stood next to a display of the four shoes he designed with celebrities to raise money for ovarian cancer research.

Michelle Trachtenberg was wearing her contribution to the Young Hollywood Cares Collection, a pair of dark blue snakeskin platforms with studs on the heels.

“They’re perfect for Georgina,” she said, referring to her character on “Gossip Girl.”

Hayden Panettiere had climbed into a green Fendi jumpsuit, with black suede booties from the Cares collection.

“If I were wearing stilettos, I wouldn’t be standing here,” said the actress of “Heroes” and “Scream 4” fame. She’d been on her feet for an hour.

As for getting involved in a project that supports ovarian cancer research -- specifically the lab of Dr. Marsha A. Moses at the Folkman Institute in Boston -- “it makes you feel much better about indulging in guilty pleasures, like shopping,” she said.

The shoes retail for between $425 and $498. In the month of September, which is Ovarian Cancer Awareness Month, 100 percent of that amount will go to Dr. Moses.

Madonna's daughter Lourdes lords it over the catwalk for fashion line's first birthday



There's no mistaking where she gets her fashion sense from – even if a mini dress, high heels and flaming red lipstick are not every mother’s idea of what their 14-year-old should wear.

But then Lourdes Leon is no ordinary teenager and Madonna is certainly no ordinary mother.

The singer was happy to let her daughter take the spotlight and the hosting duties as they celebrated the first birthday of their Material Girl clothing line at Macy’s department store in New York.

Looking far older than her years – and remarkably like her mother – Lourdes, nicknamed Lola, attended the party and fashion show
with Kelly Osbourne, daughter of rocker Ozzy Osbourne.

She took over as the label’s ‘muse’ after Gossip Girl actress Taylor Momsen was sacked for comparing its style to that of a ‘highclass hooker’.

When it comes to clothes for warmer weather, it’s shorts for spring that are all the rage for the girls. “I’m like obsessed with them,” said Lourdes.

While Osbourne pointed out the accessories. 'The shoes - there’s a pair of nude heels that I’m really obsessed with.

'There’s so much stuff in it that’s so me and what I wear. There’s a leopard dress that I get to wear next that I’m excited about. I love prints,' she told People Magazine.

The pair also mentioned the affordability of the brand.

'There’s not many other companies besides Material Girl that do clothes at an affordable price that are high fashion and [are] what people see in the magazines and can emulate themselves without having to go and spend $1000 on a dress, she said.

Kelly has also admitted to taking 'so much of my style from Madonna in the Eighties'.

But will have to be very careful about what she says as the clothes and the ad campaigns are aimed at teenagers.

Justin Bieber To Star In Gossip Girl?


Could our beloved Justin Bieber be scoring a guest role in our fave show?

'Gossip Girl' star Kelly Rutherford (who plays Lily Van Der Woodsen) says she would love to have Justin on the show!

"It would be great to have Justin on the show, it would be so much fun, we'd love to have him!" she said.

"I think he should perform. I think if he performed on the show it would be great. But I'm sure he's a great actor too so obviously whatever he wanted!"

Sounds like Kelly has a bit of Bieber Fever!

Kelly even brought her kids to New York Fashion Week to get a picture taken with Justin.

Totes jealous!

Meanwhile, Gossip Girl returns to TV in the US on September 26! Get your illegal downloads ready... what? We said nothing. Sssh.

Kelly Clarkson Tells Us About Man Bashing!


Kelly Clarkson was in in Australia this week to promote her new album Stronger, and Take 40 were lucky enough to sit down and chat with the gorgeous gal!

Kelly's latest single 'Mr. Know It All,' has been met with a huge response from Aussie fans and we were wondering what it was all about... has she dated a Mr. Know It All?

Kelly assured us that it's not about anyone specific, but more about general annoying people she might have worked with in the past.

"I've had a lot of man bashing songs..." she told Take 40, "(but) I'm actually very nice."

We also wanted to know whether she liked listening to her own music in those intimate moments... and her answer? Hmm not her own tunes exactly, but rather something heavily surprising!

Make sure you watch the full chat with Kelly below to hear what she said!

Kelly's new album Stronger is out on October 21st this year! Exciting!

NicChris Evans and Anna Faris 'make a great match on screen'...


Cornering the ‘funny girl’ market for the last decade thanks to the ‘Scary Movie’ franchise and films such as ‘Waiting’, ‘The House Bunny’ and ‘My Super Ex-Girlfriend’, Anna Faris now takes on the more traditional Rom-Com, and lands Captain America no less, in leading man Chris Evans.

‘What’s Your Number?’ is the story of Ally (Faris), a single lady with a fear of forever being on her own. After a magazine article backs up these fears, she has an epiphany- she will not sleep with another man until she’s sure he’s the one. Making a deal with her neighbour Colin (Chris Evans), the pair track down the twenty men she has, ahem, ‘taken to bed’, to see if she has overlooked Mr. Right. As the experiment delivers mixed results, she begins to realise that sometimes you can’t live life by the numbers.

It’s an undeniable truth that this is simply another attempt to tweak the formula of a rom-com just that little bit, only to deliver the same old chestnuts about living life and not chasing happiness with formulas and deadlines. The thing is, it’s just about likeable enough to get away with it. A combination of the leads’ charm (Faris and Evans genuinely seem suited on screen) and the frankly ingenious stroke of getting an array of famous faces to turn up as Ally’s exes (you will exclaim ‘is that…?’ more than a couple of times during the movie) mean the story keeps rolling along at an acceptable and enjoyable pace.

Faris made her name as the actress unafraid to get her hands dirty in the name of comedy, and she does so again to varying results. It’s not the clever role her talents have been crying out for, but she’s good enough at what she does to pull of some dumb comedy and still draw some laughs out of you. Likewise, Chris Evans is believable and occasionally quite funny as Colin, and as mentioned the pair make a great match on screen.

There have been far, far worse rom-coms in the last month, let alone this year, so the fact that ‘What’s Your Number?’ offers anything even slightly original is to be commended. A clever, ‘Legally Blonde’ type role is required for Faris to truly break out of the ‘disposable comedy’ niche she has created, but thanks largely to her this is a rare occasion that familiarity doesn’t breed contempt.

Saturday, July 27, 2013

Polisi kwa kumwambukiza mtoto VVU


 
“Sasa nikawa najiona ninaanza kutokwa na vipele sehemu ya mbele na nyuma vinawasha sana na nimejikuna na sasa vimekuwa vidonda na vinatoa  harufu kali.’ Mtoto  wa miaka 15 

Dar es Salaam. Mkazi wa Gongo la Mboto, jijini Dar es Salaam, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpa mimba na kumwambukiza,Ukimwi mtoto wa umri wa miaka 15.
Pamoja na kumwambukiza magonjwa, mtuhumiwa pia anadaiwa kuharibu sehemu za siri na nyuma ya maumbile ya mtoto huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Amana.
Mtuhumiwa wa tukio hilo ni  mlinzi wa minara ya simu, na inadaiwa kuwa alimshawishi mtoto huyo aliyekuwa anafanya kazi za ndani, aache kwa madai kuwa anamtafutia kazi yenye kipato kikubwa.
Akisimulia mkasa huo, katika Hospitali ya Amana alikolazwa, huku akitoa machozi, mtoto huyo alisema “mimi natokea Masasi mkoani Mtwara. Mama mmoja wa Mbagala alikuja kunichukua kwa ajili ya kumfanyia kazi za ndani lakini alinifukuza kazi akisema sijui kazi,”alisema na kuongeza:
“Nilihangaika na nikapata kazi za ndani kwa mama mmoja wa Gongo la Mboto ambako baba huyu mlinzi wa minara ya simu aliniambia niache kazi, niliyokuwa ninalipwa Sh20,000 na niende kufanya kazi yenye malipo ya Sh40,0000”.
 Alidai kuwa baada ya kutoroka kwa aliyekuwa akimfanyia kazi awali, alihamia kwa mlinzi huyo aliyekuwa amepanga eneo la  Vikongoro, Chanika iliyopo Manispaa ya Ilala na kukaa huko kwa madai atampeleka kwenye kazi hiyo.
Alidai uhusiano wao alipokuwa akienda sokoni na hata baada ya kuhamia kwake alilazimisha kumingilia kimwili na kinyume na maumbile. “Ikawa anafanya hivyo...kila siku akitoka kazini alikuwa ananilazimisha kufanya tendo la ndoa hivyo alikuwa ananiingilia mbele na nyuma na kunisababishia maumivu.  Nikimwambia naumia ananitishia sin’topata hata hiyo kazi yenyewe” na kuongeza:
“Sasa nikawa najiona niko tofauti,nikaanza kutokwa na vipele sehemu ya mbele na nyuma vinawasha sana na nimejikuna na sasa vimekuwa vidonda hivi hapa (anamwonyesha mwandishi) hata mwenyewe unaona na vinatoa  harufu kali”.
Akaongeza kuwa baada ya kuona  vidonda vimezidi, kabla na baada ya kufanya tendo la ndoa anachemsha maji ya moto huku yakichanganywa na dawa kwa ajili ya kujikanda sehemu zilizoathirika.
Amesema licha ya kuathirika hivyo, mwanaume huyo alikuwa akimzuia kutoka nje ya nyumba hiyo na alikuwa akioga na kujisaidia kwenye chumba hicho hadi anaporudi kazini mwanaume huyo na kumwaga huku chakula akiletewa na wakati mwingine analala bila kula.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala , Marietha Minangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema, upelelezi haujakamilika na mtuhumiwa yupo kituo kidogo cha Polisi Stakishari kwa mahojiano zaidi. Ili kupata taarifa zaidi juu ya mkasa huu usikose kusoma Mwananchi Jumamosi.

KATIBA : Dk Mvungi alazimika kuhubiri dini Misenyi


 

 
Na Editha Majura, Mwananchi 
Wajumbe 96 wa Mabaraza ya Katiba, Wilaya ya Misenyi mkoani Kagera, wamekutana kujadili Rasimu ya Katiba Mpya, kwa lengo la kuiboresha, kazi itakayodumu kwa siku tatu.
Akifungua mkutano huo jana, Afisa Utumishi wa wilaya hiyo, Donard Nssoko, alitaka wajumbe hao watoe maoni kwa niaba ya wananchi  ili Katiba ijayo iwe yenye maslahi kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
Katika hali inayoashiria kuwa, tume imedhamiria kudhibiti wajumbe wa mabaraza hayo,wasiingize maoni yanayotokana na shinikizo la makundi ya kisiasa, kidini na kiuana harakati, mbinu mbalimbali za kubadili fikra za wajumbe hao zilitawala ufunguzi wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa Tume mkoani humo, Dk, Sengondo Mvungi aligeuka muhubiri alipokuwa akielekeza namna wajumbe wanavyotakiwa kutekeleza jukumu hilo, baada ya maelezo yake kulenga kujenga hofu ya Mungu ndani ya wajumbe.
“Mmetumwa na wananchi siyo mjigeuze tume, bali mboreshe maoni yao kwa kuandika kila kitakacholetwa na mjumbe, ili kikafanyiwe kazi na tume; kushiriki kwenu kuunda sheria kuu kwa Watanzania siyo suala la kibinadamu, bali Mungu amekushirikisha ufanye kazi hiyo kwa niaba yake,” alieleza Dk, Mvungi
Dk. Mvungi aliwataka watambue kuwa hawapo kutumiwa na makundi fulani, kuchakachua kwa kubadili maoni ya wananchi yaliyo katika rasimu, bali kuyaboresha na kwamba kama ilivyo kwa imani za Kikristo na Kiislamu, kwamba wanaoshiriki kujenga Kanisa au Msikiti wamebarikiwa.
Alisema kidunia, wanaoshiriki kuunda Katiba ambayo ni sheria kuu ya nchi, wamebarikiwa na kwamba kinyume na baraka za Mungu ni laana, hivyo akaasa wanapotekeleza jukumu hilo, wajitambue kuwa wanamtumikia Mungu kwa ajili ya watu wake wa Tanzania.
“Mimi siyo Padri, Askofu wala Sheikh nakuelekeza haya, ili ufahamu kuwa usipokuwa mwaminifu kwa Mungu na taifa lako katika hili, hutapata nafasi ya kujitetea mbele za Mungu, msije mkasema hatukujua kuwa kazi ya kutunga Katiba ni ya Mungu; ukikosea utahukumiwa,” Dk. Mvungi alieleza
Mjumbe wa Sekretalieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Marlin Komba kabla ya kufungua mkutano huo, alitoa karatasi kwa kila mjumbe ili iandike wadhifa na sifa yake katika jamii aliyotoka. Vikakusanywa na kuhifadhiwa kwenye bahasha moja.
“Vyeo na sifa zenu zimehifadhi kwenye bahasha hii, ukumbini mmebaki wajumbe wa mabaraza ya Katiba, mtakaoboresha rasimu ya Katiba ili ipatikane Katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania siyo kwa maslahi ya dini, siasa au uanaharakati,” Komba alieleza
Kama hiyo haitoshi, mwisho wa maelekezo ya tume, Komba aliongoza mabaraza hayo kuimba ubeti mmoja wa wimbo wa taifa, akihimiza kuzingatia umuhimu wa kumshirikisha Mungu na kuzingatia utaifa katika kazi wanayotakiwa kufanya.
Baadhi ya wananchi walionekana kupendelea zaidi makundi fulani ya wananchi, mambo ambayo yanaonekana wazi kwamba yanaweza kuifanya katiba isizae matarajio ambayo wengi wanayo ya kuwepo kwa katiba iliyo safi kwa wote.

Mishahara mipya serikalini 2013


 
Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimuudumia mgonjwa hospitalini hapo. Wafanyakazi wa sekta ya afya ni miongoni wa walio ongezewa mishahara na serikari katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14. Picha na Maktaba 
Dar. Serikali imetangaza mishahara mipya kwa watumishi wa umma itakayoanza kutumika mwezi huu, huku kima cha chini kikiongezwa kwa asilimia 41.18 kutoka Sh 170,000 hadi Sh240,000.
Vilevile, mishahara ya watumishi wengine wa umma imeongezwa kwa wastani wa asilimia 8.41. Waraka namba moja kwa watumishi wa umma uliotolewa na Katibu Mkuu, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Yambesi Julai 2 mwaka huu, unaeleza kuwa marekebisho hayo ya mishahara yatahusu watumishi wa serikali kuu na watumishi wa serikali za mitaa.
Wengine watakaonufaika na marekebisho hayo ni watumishi walioshikizwa kwenye taasisi za umma na watumishi ambao watakuwa kwenye likizo inayoambatana na kuacha kazi, kustaafu kazi au kumaliza mikataba baada ya Julai mosi mwaka huu.
Waraka huo umeonyesha kuwa watumishi wa serikali ambao wanapata mishahara binafsi isiyo ndani ya viwango vya mishahara ya serikali hawatahusika na marekebisho hayo.
Mei 29 mwaka huu, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, aliliambia Bunge, kwamba Serikali imekamilisha majadiliano ya kuongeza kima cha chini cha mshahara katika sekta 12 binafsi, kitakachoanza kutumika rasmi Julai mosi.
Waziri Kabaka alitaja sekta hizo kuwa ni ya Ujenzi, Shule Binafsi, Nishati, Viwanda na Biashara, Hoteli na Huduma za Majumbani, Ulinzi Binafsi, Madini, Afya, Uvuvi na Huduma za Majini, Usafirishaji, Mawasiliano na Kilimo. Kwa mujibu wa Kabaka, mishahara imepanda kwa kiwango cha asilimia kati ya 21 na 65 huku Afya ikiongoza kwa kuongezwa ikifuatiwa na sekta ya hoteli na huduma za nyumbani yenye asilimia 55.
Mei mosi mwaka huu akiwa mkoani Mbeya, Rais Jakaya Kikwete, aliahidi unafuu wa maisha kwa wafanyakazi kwa kuangalia uwezekano pia wa kupunguza kodi kwenye mishahara, Lipa Kadiri Unavyopata (PAYE).
Kuhusu kuongeza mishahara, Rais Kikwete aliahidi wafanyakazi wote kwamba Serikali itaendelea kuiongeza kulingana na hali ya uchumi wa nchi. Waraka huo unaonyesha kuwa mishahara mipya kwa watumishi wa serikali kada ya masharti (operational service), ngazi ya mshahara na mshahara mpya kwenye mabano ni;
TGOS A
TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000), TGOS A 7.(Sh272,000), TGOS A 8(Sh279,000), TGOS A 9.(Sh284,800), TGOS A 10(Sh290,400), TGOS A 11(Sh296,000), TGOS A 12(Sh301,600), TGOS A 13(Sh 307,200), TGOS A 14(Sh312,800), TGOS A 15(Sh 318,400), TGOS A 16(Sh324,000), TGOS A 17(Sh329,600) na TGOS A 18(Sh335,200).
TGOS B
TGOS B 1. (Sh347,000), TGOS B 2. (Sh356,500) TGOS B 3 . (Sh366,000), TGOS B 4 . (Sh375,500), TGOS B 5. (Sh385,000), TGOS B 6. (Sh394,500), TGOS B 7. (Sh404,000), TGOS B 8. (Sh413,500), TGOS B 9. (Sh423,000), TGOS B 10. (Sh432,500), TGOS B 11 . (Sh442,000) na TGOS B 12. (Sh451,500).

Sunday, July 14, 2013

ASKARI SABA WA TANZANIA WADAIWA KUUAWA DARFUR.


Dar es Salaam. Wanajeshi saba wa Tanzania, ambao ni miongoni mwa kikosi cha Umoja wa Mataifa, cha kulinda amani katika jimbo la Darfur nchini Sudan, wanadaiwa kuwa wameuawa.
Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana zilisema kwamba wanajeshi hao wa Tanzania, wamekufa kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na waasi wanaopigana na Serikali.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, miili yao wanajeshi hao bado ipo nchini Sudan ikisubiri taratibu za kusafirishwa kuletwa nchini.
Hii ni mara ya kwanza kuripotiwa kwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Tanzania wanaolinda amani katika nchi mbalimbali kufa kwa wakati mmoja.
Agosti mwaka jana wanajeshi watatu wa Tanzania huko Darfur waliripotiwa kuuawa kwenye tukio kama hilo.
Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , Kanali Kapambala Mgawe alipoulizwa kwa njia ya simu kuhusu vifo vya wanajeshi wa Tanzania huko Darfur, alisema kuwa naye amesikia, lakini hana taarifa rasmi kwa mujibu wa taratibu za kiofisi.
Hii ni mara ya pili kwa wanajeshi wa Tanzania kuuawa katika Jimbo la Darfur, ambapo Agosti mwaka jana, Kanali Mgawe alinukuliwa na vyombo vya habari akithibitisha kutokea kwa vifo vya askari watatu ambao gari lao lilizolewa na maji walipokuwa wakivuka mto uliokuwa umefurika maji.
Kanali Mgawe aliwataja askari hao kuwa ni Sajini Julius Chacha, Sajini Anthony Daniel na Koplo Yusuph Said na kwamba askari wengine walinusurika baada ya kuogolea.
Tanzania ina askari 850 kwenye kikosi cha Umoja wa Mataifa cha Kulinda Amani jimbo la Darfur, ambao ni sehemu ya askari 1,081 wa kulinda amani katika jimbo la Darfur.
Wanajeshi hao wa Tanzania wametawanywa kwenye miji ya Khor Abeche na Muhajeria kusini mwa Darfur.
Aprili mwaka huu Tanzania ilipeleka wanajeshi wa kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kupambana na kikundi cha waasi wa nchi hiyo M23 kinachopigana kuiangusha serikali ya DRC.
Majeshi ya Tanzania yalipelekwa kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa. Tanzania inaungana na nchi za Afrika Kusini na Malawi kukamilisha kikosi cha wanajeshi 3,000. Tanzania imepeleka wanajeshi 850.(MWANANCHI)

ARUSHA SI SHWARI-SHEIKH AMWAGIWA TINDIKALI.

ARUSHA,hali ikiwa bado tete mkoani Arusha kutokana na tishio la uwepo vurugu za kisiasa pamoja na kundi la watu ambalo halijafahamika linalotekeleza vitendo vya kigaidi, tukio lingine lenye mwelekeo na sura ile ile limetokea tena jana.

Katika tukio la sasa, Kaimu Sheikh wa Wilaya ya Arumeru, Said Makamba, amemwagiwa majimaji yanayodaiwa kuwa tindikali na kumsababishia maumivu makali usoni na kifuani.

Tukio hilo limetokea wakati wakazi wa Arusha mjini wakijiandaa kupiga kura leo, katika uchaguzi wa madiwani wa kata nne ambao tayari umeonyesha dalili mbaya, kutokana na kuibuka vitendo vyenye kuashiria kuuvuruga.
Tukio hilo, ambalo hata hivyo haijajulikana kama limetokana na masuala ya kisiasa au la, linafanana mazingira na lile la bomu lililorushwa kwenye mkutano wa kuhitimisha kampeni za Chadema Julai 15 mwaka huu, kwani yote yametokea siku moja kabla ya uchaguzi.

Taarifa  zinaeleza Sheikh huyo alikutwa na dhahama hiyo nyumbani kwake, huko eneo la Sombetini, wakati alipotoka nje ya nyumba yake kwenda kujisaidia, ndipo ghafla akatokea mtu akiwa na kikombe chenye majimaji hayo na kummwagia usoni.

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Shaban Juma Abdalah, akizungumzia tukio hilo, alisema baada ya kumwagiwa tindikali, sheikh huyo alisaidiwa na majirani kukimbizwa Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, alikolazwa hadi hivi sasa.

Akizungumza kwa tabuSheikh Saidi Makamba, alisema tukio hilo lilimkuta akiwa anatoka katika Msikiti wa Jabal Hiraa Kwa Mrombo, ambapo mara baada ya kufika nyumbani aliingia ndani na kubadilisha nguo.

“Nilipomaliza kubadilisha nguo nilitoka nje kwa ajili ya kwenda msalani, baada ya kumaliza nikiwa natoka nje ghafla nilimuona kijana mmoja akinifuata kwa kasi huku akiwa ameshika kopo mkononi na alionekana mwenye shari.

“Nikiwa sijatafakari nini kinaendelea, ghafla niliona akinimwagia maji usoni, ambapo nilianza kusikia harufu kama ya spirit au petroli hivi, lakini hapo hapo macho yangu yalishindwa kabisa kufunguka na ndipo nilipoanza kupiga kelele.

“Nikiwa nje, mke wangu alikuja na kunichukua hadi ndani, baadaye ndio wakanileta hapa hospitalini kwa ajili ya matibabu,” alisema Sheikh Makamba.

Hata hivyo, Sheikh Makamba amesema kuwa hisia zake zinamtuma kuamini kuwa watu waliofanya hivyo huenda wakawa ni wale wanaotofautiana ndani ya dini ya Kiislamu.

Sheikh Makamba aliomba msaada wa matibabu zaidi kwa mtu yeyote ambaye ataguswa kumsaidia, kwani ameumia.

Tukio hilo lilimlazimisha Sheikh wa Mkoa kuitisha kikao cha dharura jana, kuzungumzia tukio hilo ambapo walivitaka vyombo vya dola kuwasaka wahalifu waliohusika katika tukio hilo la kinyama.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alipoulizwa juu ya tukio hilo alisema kuwa bado halijamfikia na kwamba kama tayari limeripotiwa atalifanyia kazi.

Matukio ya kigaidi kama kumwagiwa watu tindikali, milipuko ya mabomu na matumizi mengine ya silaha dhidi ya viongozi wa dini na wananchi katika mikusanyiko mbalimbali sasa yanaonekana kuanza kuzoeleka nchini.(MTANZANIA)

Saturday, July 13, 2013

TAIFA STARS YALALA 1-0 KWA UGANDA.

http://api.ning.com/files/IvqemBCauJFrdL5Kt9Q-SdQO*4G*DTWQ*DOV27oJq5B10EbCKNEiW6VpU1ac0pUuaSHOk7uoHA2m0CgzRnAsoY4LwNxwzAUo/IMG_4520.JPG?width=640 

http://api.ning.com/files/IvqemBCauJEqIkNwfL8F-IQuYWL5Z7snTXFc8-dnWisB1wfpXMrEyjITdj0PMPmHnDY79HGQNZ8Vn2BkChWcATggQHZjM7ZM/IMG_4536.JPG?width=640
Taifa Stars wakitoka vichwa chini.
DAR ES SALAAM,MATUMAINI ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kushiriki fainali za CHAN nchini Afrika Kusini imefifia baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes'. Taifa Stars imelala katika mechi ya kwanza iliyopigwa leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Stars inasubiri mechi ya pili itakayopigwa jijini Kampala wiki mbili zijazo na kama itafanikiwa kuibuka kifua mbele zaidi ya matokeo ya leo itakuwa na uhakika wa kushiriki fainali hizo ila kama matokeo yatakuwa vinginevyo basi safari ya Stars itakuwa imeishia hapo.

HUYU NDIYE MZEE ANAYETAKA KUMFUFUA MWALIMU NYERERE.

 
 
Mzee (pichani) aliyeibuka hivi karibuni akidai kuwa ana uwezo wa kumfufua Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere amezua gumzo. Babu huyo aliibuka katika studio za Kyera FM huko mkoani Mbeya akihitaji msaada wa kumfikisha Butihama alipozikwa Mwalimu Nyerere mwaka 1999 ili amfufue. Mzee huyo alikuwa na ufunguo mkononi ambao anadai ndiyo utakaotumika kumfufua Nyerere. Anaeleza kuwa akishamfufua Mwalimu Nyerere ndiye atakayesimamia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. 

Friday, July 12, 2013

CCM VS CHADEMA -VITA KALI.

 
DAR ES SALAAM,Siku tatu baada ya Rais Jakaya Kikwete kuponda mpango wa Chadema kuanzisha kambi kwa ajili ya mafunzo ya ulinzi kuwalinda viongozi na wanachama wake,  chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimeibuka na kusema kuwa kinaendelea na mpango huo na kambi hizo zitaanza rasmi wiki ijayo.
Kimesema hakitishwi na kauli ya Jeshi la Polisi kukionya juu ya  uanzishwaji wa mafunzo hayo,  kwamba jeshi hilo linatakiwa kuanza kukizuia Chama Cha Mapinduzi (CCM)  kwanza, kwa maelezo kuwa chama hicho tawala pia kina kikundi cha ulinzi ‘Green Guards’ ambacho kinafanya mafunzo ya kijeshi, huku kikitumia silaha za moto.
“CCM ndiyo wataipeleka nchi hii pabaya, wanawafundisha vijana huku wakiwabebesha  bunduki, wanajenga taifa la aina  gani, bunduki ni silaha ya kivita sasa wanaandaa watu kupigana na nani” alisema Mkurugenzi wa Organaizesheni na Mafunzo wa chama hicho, Benson Kigaira jana wakati akizungumza na wanahabari huku akionyesha picha za mafunzo ya CCM, zinazoonyesha vijana wakiwa wamebeba silaha (hata hivyo ni mbao zilizotengenezwa kwa mfano wa bunduki).
Wakati Chadema wakieleza hayo, CCM kimeshtushwa na taarifa hizo na kueleza kuwa hali hiyo sasa inahatarisha usalama wa nchi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Martin Shigela alisema ni vyema Chadema kikawaambia wananchi wawalinde, kuliko kuanzisha mafunzo huku akimtaka Msajili wa Vyama vya siasa nchini, John Tendwa kulitizama kwa kina suala hilo.
Akifunga Kongamano  la Amani lililoandaliwa  na Kituo cha Demokrasia  Tanzania (TCD), Dar es Salaam Julai 10, mwaka huu, Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa pia alikosoa kitendo cha Chadema kususia kongamano hilo alisema, “Sasa hawa kweli wanapenda amani yetu wakati hawapendi tuzungumze wanataka watu wauane, wapigane.”
Mbali na Rais Kikwete, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, SSP Advera Senso juzi alikionya chama hicho kuhusu mpango huo akisema kuwa kitendo cha chama chochote cha siasa kikiwemo Chadema, kuanzisha kikundi cha kujihami ni kinyume na sheria za nchi na endapo watafanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Kauli ya jana ya Chadema ni mwendelezo wa ile iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe Julai 9, mwaka huu, ambapo alisema  kimechukua hatua hiyo baada ya Serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalama kushindwa kufanyia kazi malalamiko yao kuhusu mauaji, vitisho na matukio ya kutisha wanayofanyiwa baadhi ya viongozi na wanachama wao.
Katika ufafanuzi wake Kigaila alisema Chadema hakianzishi vikundi vya kijeshi, bali mafunzo ya  kuwafundisha walinzi wa chama hicho  ‘Red Brigade’, jinsi ya kujilinda.
“Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni haki kwa raia yeyote kujilinda, Chadema ni taasisi ni haki yetu kuilinda taasisi yetu ndiyo maana tumesajili kikundi chetu cha ulinzi, sasa nani anatutisha, tunataka polisi waanze na CCM kwanza ambao katika mafunzo yao  wanafundisha hadi kupiga saluti na kutumia silaha,” alisema.
Alisema mafunzo hayo yataanza rasmi wiki ijayo, huku akisita kutaja siku yatakayoanza, wala mikoa yatakayofanyika na kusisitiza kuwa hayo yatatangazwa wiki ijayo wakati vijana wakienda katika mafunzo.(MWANANCHI)

TANZANIA YAIPIGA MKWARA RWANDA KUHUSU TISHIO LA KUISHAMBULIA

SERIKALI ya Tanzania imeipa onyo kali nchi ya Rwanda ikiitaka isijaribu kuota ndoto za kuishambulia kijeshi, vinginevyo itajibu mapigo kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa imeichakaza.
Kauli hiyo ya kwanza nzito imetolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa kufuatia taarifa ya matamshi makali yanayodaiwa kutolewa na Rais Paul Kagame wa Rwanda, dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na kutishia kuishambulia Tanzania.
Akizungumza na Tanzania Daima jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa wizara hiyo, Mkumbwa Ally, alisema ingawa Serikali ya Tanzania hadi sasa inajua haina ugomvi wowote na Rwanda, lakini amekiri kuwapo kwa kile alichokiita ‘kupishana lugha’ kwa Rais Jakaya Kikwete na Paul Kagame.
Mkumbwa alikiri Serikali ya Tanzania kunasa matamshi yanayodaiwa kutolewa na Rais Kagame katika moja ya hotuba zake aliyoitoa Juni 30, nchini kwake wakati akihutubia katika hafla moja ya vijana.
Kwa mujibu wa hotuba hiyo, ambayo kwa wiki sasa imesambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii, Kagame anadaiwa kusikika akitoa matamshi ya vitisho dhidi ya Rais Kikwete, kwamba anamsubiri katika wakati aujuao na kumchapa.
Baadhi ya maneno yanayodaiwa Rais Kagame aliwaambia vijana waliokutana katika mkutano wao uliojulikana kama ‘Youth Konnect’ na kufadhiliwa na mke wake, Janet Kagame, yanasema: “Huyu mtu mliyemsikia akiwa upande wa Interahamwe na FDLR na akashauri majadiliano….majadiliano?”
Aidha, Kagame anadaiwa kusema kuwa hatakuwa tayari kujadili jambo hilo, isipokuwa atamsubiri Rais Kikwete sehemu muafaka na ‘kumtandika’.
“Sitapoteza muda wangu kumjibu Kikwete, inajulikana maana kuna mahali hataweza kuvuka…haiwezekani,” alikaririwa akisema Rais Kagame, akilenga kumtisha Rais Kikwete.
Mbali na Kagame, baadhi ya viongozi kadhaa wa serikali ya Rwanda wamekuwa wakimshambulia Rais Kikwete wakimpachika majina ya kejeli ya; “Rais mhurumia magaidi, wauaji wa kimbari, mkorofi na mwenye dharau.”
Mkumbwa hata hivyo alisema Serikali ya Tanzania haina sababu ya kuingia katika vita na Rwanda, kwa sababu tu ya ushauri alioutoa Rais Kikwete wa kuitaka ikutane na wapinzani wake wanaoishi ndani ya nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kujadiliana kuhusu amani ya nchi za Maziwa Makuu.
Alisema msimamo wa Tanzania utabaki kuwa uleule wa kuitaka nchi hiyo ikubali kukaa meza moja na wapinzani wake, ili kumaliza migogoro inayoendelea katika nchi hizo za maziwa makuu, ambao unaungwa mkono na jumuiya ya kimataifa na SADC.
“Unajua mgogoro wa DRC na Rwanda hauwezi kumalizika bila ya nchi hizo kukaa meza moja na wapinzani wao ili kupata suluhu ya kudumu,” alisema Mkumbwa.
Aliwataka Watanzania kuwa watulivu na kuendelea na kazi zao kama kawaida, kwani serikali yao iko makini katika kulinda mipaka yake.
Chanzo cha mzozo
Msuguano baina ya nchi hizi mbili ulianza siku chache tu baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa nchi za Maziwa Makuu na ambacho kilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, chini ya uenyekiti wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Rais Kikwete wakati akimtaarifu Rais Museveni kile walichokuwa wamekijadili katika kikao hicho kwa vile aliketi kwa muda kwa kuwa alichelewa kuwasili, alisema ni vema serikali za Rwanda na Uganda zifungue mlango wa mazungumzo na waasi wao na akaanza kutaja majina ya vikundi vya uasi vya nchi hiyo vilivyopo nchini DRC.
Habari zinasema kauli ya Rais Kikwete iliungwa mkono na Rais Museveni akisema: “Bila mazungumzo hatutafika popote pale”.  Hata hivyo, matamshi hayo yalijibiwa kwa ukali na serikali ya Rwanda, kiasi cha kumlazimu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kutoa tamko bungeni.
Kwa kauli yake, Membe alisema serikali ilikuwa imeshangazwa na shutuma hizo za Rwanda kwani halikuwa jambo baya kutoa ushauri uliolenga kuleta mapatano na kuepusha umwagaji zaidi wa damu wa wananchi. Akaongeza kuwa, ilikuwa ni wajibu wa Serikali ya Rwanda kuupokea ama kuukataa, na wala si kutoa maneno ya kejeli na vitisho.
Kauli ya Zitto
Akizungumzia kauli hiyo ya vitisho, mwanasiasa machachari hapa nchini na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, alisema ushauri wa Rais Kikwete kwa Rwanda ulikuwa wa busara mno na akashangaa kuona nchi hiyo jirani ikitoa vitisho, kejeli, dharau na ukosefu wa adabu kwa Kikwete.
Katika moja ya tamshi lake alilolitoa jana katika mitandano ya kijamii, Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) alisema Marekani wanaongea na waasi wa kundi la Taliban, hivyo hakuna dhambi kwa Rwanda pia kufanya hivyo.
“Pia kama hutaki ushauri si unakataa tu, sasa kuanza kurushiana maneno ya nini tena? Hutaki ushauri basi. Maneno ya kila siku ya nini? Tangu Kikwete amesema kule Addis, hajasema tena. Membe (waziri) akajibu Dodoma Tanzania haijasema tena. Kigali inasema mambo haya kila siku kwa ajili ya nini?
“Taliban na Al Qaeda si wale wale? Wale watoto waliozaliwa mwaka 1994 na wakimbizi wa Kihutu waliopo Kongo nao ni wauaji? Tufikiri vizuri mambo haya. Kuna ‘genociders’ wasakwe, wakamatwe wahukumiwe. Kuna watu wana haki kabisa ya kutaka kushiriki kwenye siasa za Rwanda na wanazuiwa, wameshika silaha. Hawa lazima wakae meza moja wakubaliane,” alisema Zitto.
Mwanasiasa huyu alisema kwa sasa serikali za nchi hizo mbili zinatakiwa kuingia katika vita ya kupambana na kuondoa umasikini wa watu wake na si vita ya mtutu wa bunduki.
“Busara itumike kwa viongozi ‘neutral’ kama Uhuru Kenyatta kuwaweka pamoja Kagame na Kikwete wamalize tofauti zao. Haya maneno hayana maana yoyote,” alisema.
Alisema vita haitamuumiza Rais Kagame wala Rais Kikwete na familia zao, bali itaumiza wananchi wa kawaida wa mikoa ya Kagera na Kigoma na mikoa ya mpakani ya Rwanda.
“Vita itaturudisha nyuma sana kwenye juhudi za maendeleo. Vita itazima harakati za kujenga demokrasia nchini.  Busara itumike tu,” alisema Zitto.

Thursday, July 11, 2013

SHIRIKISHO LA SOKA LAVIFUNGIA VILABU VILIVYOFUNGANA 79-0.

Shirikisho la soka nchini Nigeria limevifungia vilabu vinne baada ya kuandikisha matokeo ya kushangaza katika michuano ya kupanda daraja.

Vilabu hivyo ni pamoja na Plateau United Feeders FC, Akurba FC, Police FC na Bubayuaro FC.
 
Plateua United Feeders iliichabanga Akurba FC mabao 79 kwa 0 huku Police Machine FC ikaikagaraza Bubayaro FC mabao 67 kwa 0.
 
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi katika chama cha soka nchini humo NFF Muke Umeh,amesema kuwa matokeo hayakubaliki kamwe na lazima uchunguzi ufanyike ili kubaini vipi mabao hayo yalifungwa.
 
Plateau United na Police Machine FC walicheza mchuano huo wakiwa na alama sawa na mshindi alihitajika kupata mabao mengi li kujihakikishia kusonga mbele ili kupanda daraja na kucheza ligi ya Kitaifa.
 
Plateua United Feeders walipata mabao 72 katika kipindi cha pili cha mchuano wao huku, huku Police wakiandikisha mabao 61 katika kipindi cha kwanza cha mchuano wao.
 
Uongozi wa soka nchini Nigeria unasema kuwa hauwezi kueleza kilichitokea na wale wote watakaobainika kusababsiha matokeo hayo watachukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa sheria za soka nchini humo.

ALIYEFARIKI SIKU YA HARUSI YAKE AZIKWA NA MWANAE.

ROMBO, Ilikuwa ni majonzi, vilio na huzuni katika kijiji cha Mahalu, wilayani Rombo, Kilimanjaro kufuatia mazishi ya aliyetarajiwa kufunga ndoa Jumamosi marehemu Levina Swai pamoja na mwanawe.
Marehemu Levina alizikwa na mwanaye kaburi moja baada ya kichanga hicho kufariki siku hiyo hiyo mara baada ya mama yake kupoteza maisha kwa kile kilichodaiwa ni kuugua Malaria, shinikizo la damu kuwa chini na upungufu wa damu.
Marehemu Levina alifariki wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Akizungumza katika kijiji cha Mahalu kata ya Makiidiwilayani Rombo, alikozikwa,wifi wa marehemu, Hortensia Mrima alisema wifi yake alifia hospitalini na alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Nndawa mkoani Lindi akiwa katika mpango wa ajira ya walimu wapya.
“Mimi ndiye nilikuwa namuuguuza hospitalini tangu Alhamisi iliyopita na alikuwa anasumbuliwa na malaria na kupungukiwa na damu na pressure (shinikizo la damu) kuwa chini,”alisema Mrima.
Ibada ya mazishi ilianza saa 8:30 mchana ikiongozwa na Padri Emmanuel Mavengero na kuhudhuriwa na waombolezaji kutoka Tanga na Kilimanjaro.
Mazishi hayo yalitawaliwa na simanzi huku waombolezaji wengi akiwamo aliyetarajiwa kumuoa marehemu Levina,Gabriel Swai muda wote alikuwa akibubujikwa na machozi na kushindwa kuzungumza.
Wifi huyo alieleza kuwa wifi yake alipopimwa alikutwa na Malaria 13 na kupewa dawa za malaria za SP na dripu za Quinine ambazo zilimlewesha sana na kuendelea kudhoofu.
“Siku hiyo ya Alhamisi alikata kauli akawa haongei ikabidi daktari amwekee dripu za Glucose ili kumuongezea nguvu na shinikizo la damu ilirudi sawasawa lakini bado alikuwa amelegea na alikuwa haongei,”alisema.
Ilipofika Jumamosi ambayo ndiyo siku iliyokuwa imepangwa kufunga ndoa na Gabriel Swai, ikabidi madaktari wamuwekee maji ya uchungu ili kumuokoa mtoto baada ya mama kuwa mahututi.
“Yale maji ya uchungu yalimsaidia akaweza kujifungua mtoto wa kiume mwenye uzito wa kilo 1.7 na baada ya kujifungua alipoteza fahamu na saa 8:05 mchana akafariki dunia,”alisema.
Kwa mujibu wa Mrima, mtoto aliendelea kuishi huku akipewa maziwa lakini alikuwa akiyatapika, hadi ilipofika saa 5:00 usiku alifariki dunia.

Wednesday, July 10, 2013

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO HAYA HAPA.



MAJINA YA WAVULANA-CLICK HAPA

MAJINA YA WASICHANA-CLICK HAPA

WATUHUMIWA WA BOKO HARAM WAFUNGWA MAISHA

Wanachama wanne wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram, wamehukumiwa kifungo cha maisha gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na mashambulio ya bomu yaliyosababisha vifo vya watu kumi na tisa.

Wanne hao walipatikana na hatia ya kupanga na kutekeleza mashambulio ya mabomu katika ofisi za tume ya uchaguzi na kanisa moja mwaka uliopita.

Hukumu hiyo ndiyo kali zaidi kuwahi kutolelwa kwa mwanachama au mshukiwa yeyote wa kundi hilo la Boko Haram.

Kundi hilo limehusika na mashambulio kadhaa ambayo yamesababisha maafa mengi katika maeneo ya Kaskkazini na Kati nchini Nigeria.

Katika miaka ya hivi karibuni kundi hilo limekuwa likiwalenga raia wa kawaida na zaidi ya watu elfu mbili wameuawa tangu kundi hilo la Boko Haram kuanzisha uasi mwaka wa 2009, katika juhudi zake za kutaka kuundwa kwa taifa jipya la Kiislamu katika eneo lililo na idadi kubwa ya Waislamu Kaskazini mwa Nigeria.

Hali ya ulinzi Kaskazini mwa Nigeria;

Hali ya hatari, ilitangazwa tarehe kumi na nne mwezi Mei mwaka huu, katika majimbo ya Kaskazini Mashariki ya Adamawa, Borno na Yobe, hatua iliyoishurutisha serikali ya nchi hiyo kutuma zaidi ya wanajeshi elfu mbili kushika doria katika eneo hilo na pia kuvunja kambi za wanamgambo hao.

BANTEKE AOMBA KUONDOKA ASTON VILLA.



Mchezaji wa klabu ya Aston Villa Christian Banteke amewasilisha ombi la kuondoka katika klabu yake na kuachia Chelsea na Aston Villa kuwania kumsajili kwa kitita cha Pauni Milioni 30.

Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka nchini Ubelgiji mwenye umri wa miaka 22 alijiunga na Aston Villa msimu uliopita akitokea klabu ya Genk ya Ubelgiji kwa kitita cha Pauni Milioni 7.

Benteke amekuwa akidaiwa kujiunga na klabu ya Arsenal, Chelsea na Tottenham Hotsupurs vilabu ambavyo vinatarajiwa kuendeleza mazungumzo na mchezaji huyo.

Uongozi wa Aston Villa unasema kuwa Banteke atasalia kuwa mchezaji wao ikiwa hatasajiliwa hivi karibuni kwa sababu alikuwa amesaini mkataba wa miaka mitatu na timu yake.

Kocha wa Villa Paul Lambert amesema kuwa ameshangazwa na kuhuzunishwa mno na Banteke kuhusu uamuzi wake kwa kile alichokisema mchezaji huyo hakuelewa kuwa mkufunzi huyo alikuwa anaijenga timu hiyo.

Katika hatua nyingine, mawakala wa mchezaji wa kimataifa wa Uruguay Luis Suarez anasema kuwa mchezaji huyo bado ana nia ya kuichezea klabu ya matufa bingwa barani Ulaya.

Klabu ya Liverpool imekataa Pauni Milioni 30 kutoka kwa klabu ya Arsenal ambayo imeonekana kutofutihwa na msimu wake nchini Uingereza.

Suarez alijiunga na Liverpool mwaka 2011 kwa kitita cha Puani Milioni 22 nukta 7 na ameichezea klabu hiyo mechi 96 na kuifungia mabao 51.

MATOKEO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KUTOLEWA LEO

DAR ES SALAAM, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema majina  ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ualimu,  yatatangazwa leo.

Msemaji wa wizara hiyo, Bunyanzu Ntambi alisema jana kuwa, majina hayo yatatangazwa leo shughuli itakayofanyika katika ofisi za wizara hiyo.

 “Kesho (leo) saa nne, selected (waliochaguliwa) watatangazwa,” alisema Ntambi.

Awali Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alisema majina ya wanafunzi hao yatatangazwa siku yoyote ndani ya juma hili.

Mulugo jana alisema majina hayo hayajachelewa kutangazwa na kwamba wanafunzi wa kidato cha sita hufungua wiki ya tatu ya Julai na kwamba hata sasa bado hawajafungua.

“Matokeo tutayatoa wiki hii na  hatujachelewa kuyatangaza kwa sababu  kwa kawaida kidato cha tano na sita wanafungua shule wiki ya tatu Julai , kwa hiyo tukitoa wiki hii tutakuwa hatujachelewa,” alisema Mulugo.

Mmoja wa walimu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani jijini Dar es Salaam, alisema kuwa kwa kawaida wanafunzi wa kidato cha tano huripoti shuleni wiki mbili kabla ya wale wa kidato cha sita kitu ambacho mwaka huu kimekuwa tofauti.

“Mpaka sasa hatujaambiwa kwa nini hii hali imekuwa hivi, kwa kawaida kidato cha tano huripoti shuleni wiki moja kabla ya kidato cha sita, lakini mpaka sasa waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano bado hawajatangazwa,” alisema Mwalimu huyo.

Wakati majina hayo yakitarajiwa kutangazwa leo, ni dhahiri kuwa shule za Serikali zenye kidato cha tano na sita zitaendelea kupata idadi ndogo ya wanafunzi tofauti na uwezo huku baadhi zisizo za Serikali zikitishia kuachana na biashara ya shule.

Hali hiyo inatokana na idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa mtihani wa kidato cha nne, ambapo kwa mwaka 2012 waliofaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu ni 35,349. Wwanafunzi walio katika nafasi kubwa ya kuchaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano ni wale waliofaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu.(MWANANCHI)


BIBI HARUSI MTARAJIWA AFARIKI SAA MOJA KABLA YA HARUSI YAKE.

HANDENI,TANGA,Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Bibi Harusi ambaye ni mkazi wa Chanika mjini Handeni, Levina Mmasi (23) amefariki dunia saa moja kabla ya ndoa yake kufungwa katika Kanisa la Katoliki la Roma Wilaya Handeni Jumamosi na hivyo kuilazimu kamati ya maandalizi ya harusi kujigeuza na kuwa ya msiba.

Kifo hicho kilichotokea Jumamosi mwishoni mwa wiki iliyopita, kimekuwa gumzo mjini Handeni huku wananchi wakisema kuwa ni tukio ambalo halijawahi kutokea katika wilaya hiyo.

Msemaji wa familia ya marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Firmin Mrimasha, alisema kuwa chanzo cha kifo cha Levina ambaye alijifungua mwanzoni mwa wiki iliyopita,ilikuwa ni homa aliyoipata ghafla siku ya Alhamisi na kupelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni na kukutwa na malaria na kisha kulazwa kwa matibu.

 “Huyu bibi harusi alikuwa ametoka kujifungua, alikuwa na mtoto wa kiume kutokana na ujauzito wa miezi saba, ndipo ghafla Alhamisi akapata homa tukampeleka hospitali alikolazwa na baada ya kupata nafuu, aliruhusiwa Ijumaa.

“Baada ya kuruhusiwa akaanza maandalizi ya harusi na Jumamosi ambayo ndiyo siku ya ndoa yake, alijiandaa lakini ilipofika saa 8.05 akafariki dunia akiwa nyumbani akisubiriwa kwenda kanisani kufunga ndoa ambayo ilikuwa ifungwe saa 9.00,” alisema Mrimasha.

Alisema, “Inasikitisha sana ila imeshatokea yaani marehemu amefariki saa moja kabla ya ndoa yake na baada ya kifo hicho, mtoto wake naye alifariki muda mfupi baada ya mama yake kufariki dunia,” alisema Mrimasha.

Akizungumzia mkasa huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi hiyo iliyogharimu Sh7.7 milioni, Abdi Kipacha alisema kuwa kwake ni tukio la kwanza kutokea tangu kuzaliwa kwake na kamwe hawezi kulisahau.

“Nilishazipangia kazi kamati za maandalizi, lakini ghafla tukapewa taarifa kuwa bibi harusi amefariki...Hatukuamini, ikabidi niwatangazie wanakamati wenzangu kuwa hakuna tena shughuli, bibi harusi amefariki,” alisema mwenyekiti huyo wa kamati na kuongeza:

“Kitu tulichokuwa tukisubiri ni kuambiwa bibi harusi angefika saa ngapi, lakini ghafla tukapewa taarifa za kifo, ilikuwa ni vigumu kuamini lakini ni kweli imetokea na inasikitisha kwani si jambo la kawaida,” alisema Kipacha.

Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na wanandugu ni kuwa marehemu alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Nndawa mkoani Lindi na kwamba alikuwa katika kundi la walimu wa ajira mpya ambayo hadi mauti yanamkuta alikuwa hajapokea hata mshahara wake wa awali.

Akizungumzia hali hiyo, Padri aliyekuwa afungishe ndoa hiyo, Max Sabuni wa kanisa hilo Katoliki Handeni alisema:       “Nimesikitishwa na tukio hili kwa kuwa halikuwahi kunitokea...Kilichobaki ni wanandugu kuwa watulivu kwa kuwa Mungu amechukua kiumbe wake kwa muda alioupanga.”

Aliwataka ndugu, jamaa na marafiki kuwa na subira katika kipindi hiki cha majonzi.


Monday, July 8, 2013

Murray bingwa mpya wa Wimbledon

Andy Murray

Andy Murray amekuwa Muingereza wa kwanza kushinda taji la Wimbledon tangu mwaka 1936, ikiwa ni zaidi ya miaka 77.

Murray amemfunga Novak Djokovic raia wa Serbia kwa seti tatu kwa kwa bila katika mchezo wa fainal za wanaume za michuano ya tenesi ya Wimbledon.

Murray amemshinda mchezaji anayeorodheshwa wa kwanza duniani Novak Djokovic kwa seti tatu kwa bila za 6-4, 7-5, 6-4.

Andy Murray amesema anashindwa kuamini kile alichokifanya kwani mechi hiyo ilikuwa ngumu, huku joto likiwa kubwa lakini anashukuru ameweza kumaliza mechi hiyo kwa ushindi muhimu kwake na kwa taifa.

Hili ni taji la pili la michuano mikubwa ya tenesi duniani maarufu kama Grand Slam baada ya kushinda lile la Michuano ya wazi ya Marekani.

Muingereza wa mwisho kushinda taji la Wimbeldon ambalo hufanyika mjini London kila mwaka alikuwa ni Fred Perry aliyeshinda taji hilo kwenye michuano ya mwaka 1936.

Mwaka jana Andy Murray alipoteza mchezo wa fainali ya michuano ya Wimbledon kwa kufungwa na Roger Federer.

Malkia wa Uingereza, Elizabeth wa pili amemtumia ujumbe wa Pongezi Andy Murray kwa ushindi wake katika mechi ambayo ilishudiwa pia na Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameroon

Nyati mweupe azua tafrani Ngorongoro

WAHIFADHI watafiti na wataalamu kadhaa, wako katika harakati za kumsaka Nyati wa ajabu anayedaiwa kuwa na rangi ya maziwa, ambaye hivi karibuni ameonekana katika mwambao wa bonde kuu la Ngorongoro (Kreta) na kusababisha tafrani kubwa.

Kwa mujibu wa mtalaam wa ikolojia katika mamlaka hiyo, Patrice Mattay, uwepo wa nyati (mbogo) huyo wa aina yake hifadhini hapo, kumeibua suala jipya katika utafiti wa wanyama pori, kwani hakujawahi kuwepo Nyati mwenye rangi nyeupe popote duniani. Kwa kawaida Nyati huwa anangozi yenye rangi nyeusi.

Nyati huyo mweupe aligundulika kwa mara ya kwanza na maafisa wa polisi wanaofanya kazi katika kituo cha polisi kilichopo ndani ya hifadhi hiyo, ambao wanasema mnyama huyo hupita katika maeneo ya kituo hicho majira ya asubuhi akiwa miongoni mwa mbogo wengine takribani 20. Ngorongoro ina nyati wapatao 350.

“Ni kweli hata mimi binafsi nimemshuhudia Nyati huyo mweupe akikatiza katika sehemu mbalimbali za hifadhi ya Ngorongoro majira ya asubuhi akiwa katika kundi la mbogo wengine,” alisema mkuu wa kituo cha Ngorongoro Afisa wa Polisi, JJ Paul.

Hadi sasa ni maaskari wanaofanya doria katika maeneo ya hifadhi hiyo, hususan nyakati za asubuhi, ndio wanaothibitisha kwa kiwango kikubwa kumuona Nyati huyo wa ajabu ambaye sasa anatarajiwa kuwa atakuwa kivutio kipya cha utalii nchini.

Meneja Uhifadhi katika mamlaka ya Ngorongoro, Amiyo T. Amiyo amesema tayari shirika lake limekwisha tuma askari wake kadhaa kumsaka Nyati huyo wa ajabu, ili kubaini eneo ambalo anapatikana kwa ajili ya kuwezesha utafiti zaidi.

“Na kwa mtu yeyote mwenye kutuletea taarifa kuhusu Nyati huyo mweupe zitakazotuwezesha kumpata mnyama huyo, basi naye pia atazawadiwa ipasavyo,” alisema Amiyo.

Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro ndiyo inayoongoza kwa kupata watalii wengi nchini na kwa mujibu wa Ofisa Utalii wa Shirika hilo, Asantaeli Melita, zaidi ya wageni 585,000 hutembelea eneo hilo, na hasa Kreta, kila mwaka.

Idadi ya wanyamapori walioko Ngorongoro kwa sasa inafikia 300,000 wengi wao wakiwa ndani ya bonde lenyewe huku baadhi na hasa twiga wakiishi nje ya Kreta.

Mbali na Mbogo wa jabu aliyegunduliwa hivi karibuni, eneo la Ngorongoro pia lina maajabu mengine kadhaa, ukiwemo kilima cha mchanga unaotembea bila kusambaratika, idadi kubwa ya Kakakuona, mnyama anayedaiwa kuwa na uwezo wa kutabiri, pamoja na idadi kubwa ya wanyama adimu kama Mbwa-mwitu na Faru.

USAFIRI DAR KITENDAWILI

DAR ES SALAAM, Abiria  waliokuwa wasafiri kwenda mikoani na nchi jirani, wamekwama katika kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo kutokana na uchache wa mabasi.

Mwananchi jana ilishuhudia mamia ya abiria wakisubiri mabasi yalikuwa njiani  kurejea Dar es Salaam ili na wao waweze kusafiri kwa mabasi hayo.

Katika kituo hicho ambacho kwa kawaida huwa na mabasi mengi, kwa siku ya jana muda wa saa nne hadi tano ni mabasi matatu tu ya Shabiby Line, Hood na Simba One ndio yalikuwa yakipakia abiria kuelekea Morogoro na Dodoma,huku kukiwa hakuna basi lolote la kuelekea mikoa ya Kaskazini.

Abiria hao wengi wakiwa ni wanafunzi walikuwa wakirejea shuleni kwa ajili ya muhula mpya wa masomo unaotarajiwa kuanza leo.

Wakizungumza na Mwananchi walisema wanadhani uhaba wa mabasi umetokana na uwapo wa wanafunzi wengi ambao wanarudi shule baada ya kumaliza likizo za katikati ya mwaka.

“Sisi tumekata tiketi tangu jana ya kwenda Dodoma, tunakwenda Msalato Sekondari,lakini leo tumefika hapa asubuhi na tulitakiwa kuondoka na basi la saa nne lakini mpaka saa tano hii tunaambiwa tusubiri basi liko njiani linakuja”walisema wanafunzi ambao hawakutaka kutaja majina.(MWANANCHI)

Saturday, July 6, 2013

Papa John Paul II kutangazwa Mtakatifu.

http://media.tumblr.com/tumblr_lk598yBV7a1qaf7km.jpg 

VATICAN, Papa Francis amethibitisha uamuzi wa kumtangaza kuwa mtakatifu mwenyeheri Yohane Paul ll ambaye alifariki dunia mwaka 2005.

Katika uamuzi wake jana, Papa Francis ameeleza kuwa miujiza mbalimbali na ushahidi wa matendo ya mwenyeheri Yohane Paul II yanampa nafasi ya kumtangaza mtakatifu kulingana na kanuni za Kanisa Katoliki.

Uamuzi huo wa kumtangaza mtakatifu Yohane Paul ll utamfanya Papa Francis kumweka katika orodha ya watakatifu kiongozi huyo ambaye aliongoza kanisa hilo tangu mwaka 1978 pamoja na Papa mwingine, Yohane XXlll, ambaye alifariki dunia miaka 50 iliyopita na ambaye alikuwa kipenzi cha wengi.

Kwa mamlaka yake, Papa Francis atamtangaza pia Papa Yohane XXlll kuwa mtakatifu, ingawa makao ya kanisa hilo, Vatican hayathibitishi rasmi muujiza wake.

Vatican ilieleza jana kuwa Papa Francis anao uwezo na mamlaka ya kumtangaza mtu yeyote kuwa mtakatifu kufuatana na mchakato ambao umewekwa na kanisa hilo na kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa, bila kuangalia au kuegemea zaidi kigezo cha muujiza.

Hata hivyo, Vatican inaeleza kuwa sherehe za kumtangaza mwenyeheri Papa Yohane Paul ll kuwa mtakatifu zitafanyika kabla ya mwisho wa mwaka.

Tayari, Desemba 8 imeandaliwa rasmi kama siku maalumu ya kufanyika kwa shughuli hiyo, kutokana na kuwa sikukuu kubwa ya kanisa hilo kwa kumbukumbu ya Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili, siku ambayo pia watawa hasa wa kike huweka nadhiri zao.

Vyombo vya habari vya Poland alikozaliwa mwenyeheri Papa Yohane Paul ll vimeendelea kueleza kuwa Oktoba ndiyo unaoweza kutumika kwa shughuli hiyo, siku ambayo ni ukumbusho wa kuteuliwa kwake kuwa kiongozi wa kanisa hilo mwaka 1978.

Hata hivyo, maofisa wa Vatican wameeleza kuwa itakuwa mapema mnno kwa shughuli hiyo kubwa kwa kanisa hilo.

Msemaji wa Vatican, Padri Federico Lombardi alithibitisha kuwa muujiza wa kwanza wa mwenyeheri Papa Yohan Paul ll ulihusisha mwanamke raia wa Costa Rica.

Gazeti la Kikatoliki la Hispania, La Razon limemtaja mwanamke huyo kuwa Floribeth Mora na kueleza kuwa alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa kichwa, ambao ulipona kwa maajabu Mei Mosi, 2011 , siku ambayo tukio la kutangazwa kwa Yohane Paul ll kuwa mwenyeheri kulifanyika mbele ya waumini 1.5 milioni katika Viwanja vya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican kwa heshima yake.

Katika matoleo kadhaa ya gazeti hilo mwezi uliopita, La Razon limeeleza kuwa Mora aliamka akiumwa kichwa Aprili 8 na kwenda hospitali, hali yake ilikuwa mbaya kiasi cha kurudishwa nyumbani na kuambiwa kuwa ataishi kwa mwezi mmoja.(MWANANCHI)