Saturday, July 13, 2013

TAIFA STARS YALALA 1-0 KWA UGANDA.

http://api.ning.com/files/IvqemBCauJFrdL5Kt9Q-SdQO*4G*DTWQ*DOV27oJq5B10EbCKNEiW6VpU1ac0pUuaSHOk7uoHA2m0CgzRnAsoY4LwNxwzAUo/IMG_4520.JPG?width=640 

http://api.ning.com/files/IvqemBCauJEqIkNwfL8F-IQuYWL5Z7snTXFc8-dnWisB1wfpXMrEyjITdj0PMPmHnDY79HGQNZ8Vn2BkChWcATggQHZjM7ZM/IMG_4536.JPG?width=640
Taifa Stars wakitoka vichwa chini.
DAR ES SALAAM,MATUMAINI ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kushiriki fainali za CHAN nchini Afrika Kusini imefifia baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes'. Taifa Stars imelala katika mechi ya kwanza iliyopigwa leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Stars inasubiri mechi ya pili itakayopigwa jijini Kampala wiki mbili zijazo na kama itafanikiwa kuibuka kifua mbele zaidi ya matokeo ya leo itakuwa na uhakika wa kushiriki fainali hizo ila kama matokeo yatakuwa vinginevyo basi safari ya Stars itakuwa imeishia hapo.

No comments:

Post a Comment