Wednesday, January 29, 2014

Lowassa ameanza safari ya Urais.

 
Ile ‘safari ya Lowassa’ imeibua mambo na mjadala mzito ndani na nje ya CCM.  Jambo la kujiuliza, je, safari hiyo ina urefu na vikwazo kiasi gani?
0Sha“Nimefarijika sana leo kuwaona hapa marafiki zangu wengi. Ninapowatazama hadi machozi yananitoka na kwa uwezo wa Mungu tutashinda kwani nyote mnajua nia na ndoto yangu…WanaCCM msiwe na shaka, tutavuka kwa nguvu zetu... Wingi wenu huu unanipa faraja katika safari yetu na kwa kumtegemea Mungu tutashinda.”  ni kauli ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa. 
\
Lowassa alitangaza hivi karibuni kuanza rasmi kwa safari hiyo aliyoiita ya matumaini ya ndoto zake, ambayo anasema itatimiza ndoto za Watanzania za kupata elimu bure, majisafi na maendeleo ya uhakika.
Alitoa kauli hiyo katika ibada ya shukrani na kuupokea mwaka mpya, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Usharika ya Monduli Mjini mkoani Arusha.
Bila ya kutaja safari hiyo ni ipi, Lowassa anawataka waliohudhuria ibada hiyo waungane na kaulimbiu yake, ‘Tulifurahi pamoja, tulihuzunika pamoja na tutashinda pamoja’.
Hafla hiyo ya kimkakati, ilihudhuriwa  na baadhi ya wabunge, wengi wakiwa wa CCM, wenyeviti wa mikoa kadhaa wa chama hicho, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM, viongozi wa jumuiya za chama na wengineo.
Licha ya kutoweka bayana aina ya safari anayoanza, Lowassa ni miongoni mwa wanaCCM wanaotajwa kuwa wanaowania urais, kumrithi Rais Jakaya Kikwete.
Dalili hizi za Lowassa kuutaka urais na kutafuta kabla ya kipenga kupulizwa, zimeishtua CCM na kumtahadharisha kuwa atapoteza sifa ya kupitishwa ifikapo 2015.
Safari tangu 1995
Tamaa ya Lowassa kuutaka urais haikuanza leo wala jana, ni ya tangu 1995 alipojitokeza kwa mara ya kwanza. Mwaka huo alikuwa miongoni mwa wagombea 17 wa CCM walioomba kuteuliwa kuipeperusha bendera ya chama hicho.
Majina hayo yalipaswa kujadiliwa na vikao vitatu vya CCM –Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Kikao cha kwanza kilikua ni Kamati Kuu ambacho Mwenyekiti wake alikuwa Mwenyekiti wa CCM wakati huo, Ali Hassan Mwinyi lakini Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa bado na ushawishi na nguvu kubwa ndani ya chama hicho.
Nyerere bila kumung’unya maneno, alisema wazi akiwataja wazi Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela kuwa hawakuwa wanafaa kugombea.
Nyerere alisema Malecela alikuwa na madhambi mengi na kwamba alikuwa ameyabainisha katika kitabu chake cha ‘Uongozi na hatima ya Tanzania’ ambacho pia alielezea udhaifu wa Horace Kolimba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Monday, January 20, 2014

http://api.ning.com/files/bdOTGlbNKtrIYO1Q0RHV0WkROxbn49pV6GgMtps2jHcNuA-EEvZ1RcQPkdL1Xd7LmGjKywOkxCJl3ZkCO2f3pb85m2Ch0qRM/Lettimatabane.jpg 
JOH'BURG-AFRIKA KUSINI,Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake Afrika Kusini mapema leo. 

Lettie, ambaye alijipatia umaarufu mkubwa katika tamthilia hiyo kuanzia mwaka 1998 hadi 2008 alipoamua kuondoka, alikuwa akiishi na virusi vya Ukimwi kwa zaidi ya miaka 15. Mwaka 2011, aliwashitua mashabiki wake baada ya kuwatangazia kuwa yeye ni muathirika wa ukimwi. Hata hivyo wengi walimpongeza kwa kuwa na ujasiri wa kujitangaza hadharani, kwani kwa miaka mingi alikuwa akifanya kazi ya ubalozi wa mambo ya ukimwi. Aliianza kazi hiyo ya ubalozi kabla hajaathirika na hata alipoathirika hakushituka sana ingawa hali hiyo ilibadili maisha yake kabisa.
Tamthilia ya Isidingo ni miongoni mwa tamthilia kongwe na maarufu nchini Tanzania ambayo imekuwa ikioneshwa na televisheni ya ITV kwa zaidi ya miaka kumi sasa bila kuchosha watazamaji wake.

Mungu ailaze roho yake mahala pema - AMEEN!

Thursday, January 16, 2014

FAILURE OF NEW SONG FROM CRAZY GK


Crazy GK also known as King Crazy GK, is a rapper from Tanzania, who started recording in the mid-90’s, initially with Mawingu studio (producer Bonnie Luv). Born as Gwamaka Mjuni Kaihula, he takes part in the East Coast team. Others that were associated with this team are Mwana FA, O Ten, Snare and AY.

Some of his popular solo tracks include 'Sister Sister', 'Hii Leo' and 'Nitakufaje'.

In 2003 Crazy KG featured in a Tanzanian hip-hop movie called 'Girlfriend', alongside fellow artists TID and Jay Moe.few days ago GK he release new song but still fail ta take again its previous level when heats with east coast team.
GENRE: Bongo Flava
COUNTRY: Tanzania

ZITO AANZA KUMPIGIA DEBE LOWASSA..



Mwanasiasa maarufu wa CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe amepost 'tweet' ambayo haijaeleweka tafsiri yake wazi ingawa wengi wameihisi kama ni dalili  ya kumuunga mkono waziri mkuu mstaafu Mh.Edward Ngoyai Lowasa.

Ndugai, DC kikaangoni, CUF wapigilia msumari






Dar es Salaam. Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Ardhi (HakiArdhi), imekosoa hatua ya Naibu Spika, Job Ndugai kuingilia mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto na kusema kuwa ni mwendelezo wa uchochezi wa wanasiasa katika migogoro hiyo.
Akiwa kwenye mazishi ya Mchungaji Emanuel Manyaji (38) na mwanaye Shukuru Manyaji (13) ambao waliuawa na wafugaji kwa kuchinjwa wakiwa kanisani katika eneo la Hifadhi ya Embroy Murtangos wilayani Kiteto, Ndugai alimtaka Mkuu wa Wilaya hiyo, Martha Umbura kujiuzulu kutokana na madai kuwa hana sifa za kuendelea na wadhifa huo.
Hata hivyo, akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Mkurugenzi wa HakiArdhi, Yefred Myenzi alisema, kauli hiyo ni mwendelezo wa malumbano ya wanasiasa yanayochochea migogoro kwa wananchi.
“Nimemsikia naibu spika akisema kuwa viongozi wa wilaya ndiyo wanahusika, je anao ushahidi? Kwa nini kauli kama hizi zitoke nje ya Wilaya ya Kiteto? Inaonyesha kuna wanasiasa wanaohamasisha wananchi wavamie ardhi iliyozuiwa kutumika.”
Kauli ya Ndugai imekuja wakati kukiwa na madai kuwa anamiliki mashamba katika eneo hilo la mgogoro.
Hata hivyo, akizungumza kwa simu,Ndugai alikanusha kuwa na shamba wilayani humo na kuendelea kusisitiza kuwa, lazima mkuu wa wilaya awajibike kwa kuwa wananchi wa jimbo la Kongwa wana haki ya kuishi mahali popote nchini.
“Kwani kuwa na shamba ni kosa?... kwa kifupi mimi sina shamba Kiteto wala Kongwa kwa sababu mimi silimi. Haya ni mauaji mabaya mno. Mimi kama naibu spika siyo msemaji sana, hata bungeni sichangii hoja, ila kwa hili sitaacha kusema,” alisema Ndugai na kuongeza:
“Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, mwananchi aamke salama na afanye kazi, sasa ikitokea mauaji, mauaji mauaji, unafikiri nini kifanyike? …
“Si Kiteto tu, wananchi wa Kongwa wako Mtwara, Dodoma,Kilimanjaro na popote pale Tanzania wanatafuta maisha,” alisisitiza.
Akifafanua chanzo cha mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto, Myenzi alisema ni hatua ya halmashauri hiyo kutaka kuwahamisha wakulima katika eneo ambalo wamekuwa wakilitumia kwa kilimo huku ikidaiwa kuwa eneo hilo ni hifadhi ijulikanayo kama Emboroy Murtangos.
“Mgogoro huu ulifikishwa katika vyombo vya sheria ambapo wakulima walishinda… mwaka 2007 katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Hata hivyo halmashauri ya wilaya ilikata rufaa Mahakama ya Rufani na kushinda katika kesi namba 58 ya mwaka 2010. Hata hivyo wakulima wameomba mapitio ya kesi hiyo,” alisema Myenzi.
Licha ya mgogoro huo, Myenzi alitaja migogoro ya wakulima na wafugaji wilayani Mvomero na mgogoro wa mwekezaji na wananchi Mkoa wa Morogoro na mwingine wa mwekezaji na wananchi wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya.
1 |

short story about 50 cent,with few picture

50 Cent  50 cent  50 Cent Picture 72 - 2010 International Latino Film Festival - 'Gun ...
Curtis James Jackson III (born July 6, 1975), better known by his stage name 50 Cent, is an American rapper, entrepreneur, investor, and actor. He rose to fame with the release of his albums Get Rich or Die Tryin...wikipedia.org

wooooooooo Zoe Saldana inks new Avatar deal!


 

Avatar fans, prepare to get excited! Zoë Saldana will reprise her role as Neytiri in the next three Avatar movies! (That’s right, THREE new Avatar flicks!)
E! News reports that director James Cameron is going to make the sequels back-to-back-to-back, and that the second Avatar movie will hit theaters in December 2016. A third movie will come in December 2017 and the fourth comes in December 2018.
“Zoë captured every aspect of the character I envisioned, bringing to Neytiri a mix of delicacy, fierceness and incredible physicality. I am beyond pleased they’ll be returning with us to Pandora,” the director said.
But we won’t have to wait that long to see Zoe in another pic. The 35-year-old newlywed actress next appears in Marvel’s Guardians of the Galaxy and was recently cast in NBC’s Rosemary’s Baby miniseries. She also will likely reprise her role as communications director Nyota Uhura in the next Star Trek movie, which is pegged for a 2016 release.

Man creates religion about Kanye West.

Kanye West raps about being a god on record, and now the rapper may have a real religious following. 
One man has created a website declaring a new "religion" dedicated to the rapper and named after his latest record.  Called "Yeezianity," the church of Yeezus declares that they are "an anonymous group who believes that the one who calls himself Yeezus is a divine being." 
"Yeezianity" has its own "Golden Rule" -- "Create for others what you would have created for yourself."  The website also includes five basic principles of the movement called the "Five Pillars." 

Meantime, the creator of "Yeezianity" tells "Noisey" that "Yeezianity" is not an actual organized religion.  He adds that he created the movement after coming up with the idea one month ago.  "Yeezianitys" creator also says that his ultimate goal is to "create some controversy."

Supprise photo of Macklemore & Ryan Lewis Surprise Performance on an NYC bus!


 15/1/2014
Macklemore & Ryan Lewis recently staged an impromptu performance on an NYC bus! The Grammy-nominated duo took a bus full of New Yorkers by surprise with their hit, "Cant Hold Us," and it didnt take long before everyone was clapping along - including the bus driver.
The stunt is part of a promotional campaign for this years Grammy Awards, which take place Sunday, January 26th on CBS.

Hottest singers,Taylor Swift & Macklemore to Perform Live at Grammy Awards


Another award show, another live performance from Taylor Swift.

The 24-year-old, along with John Legend, Keith Urban, and Macklemore & Ryan Lewis, have become the latest performers added to the star-studded lineup at the 56th Annual Grammy Awards hosted by LL Cool J on January 26 at the Staples Center in Los Angeles.
The seven-time Grammy winner, who is nominated for four awards including Album of the Year for her multi-platinum Red LP, will share the stage with Katy Perry, Lorde, Robin Thicke, Imagine Dragons, and many more music heavyweights.
Taylor last performed at the Grammy Nominations Concert Live!! in December, and the “22” singer also walked the runway at the 2013 Victoria’s Secret Fashion Show, where she belted out “I Knew You Were Trouble” and collaborated with Fall Out Boy for their track, “My Songs Know What You Did in the Dark (Light Em Up).

Beutiful Carrie Underwood Leads List of Top-Earning Idol Alums

The country star and season four winner on the Fox reality show is topping "Forbes" magazines latest list of the Top-Earning "American Idols," with an income last year of $ 31 million.  The publication also points out that Underwood has raked in $83 million over the past five years. 
The inaugural "Idol" winner Kelly Clarkson is taking a rather distant second place on the list, with earnings of $7 million.  Scotty McCreery and Kellie Pickler also make the cut. 

"Forbes" Top-Earning "American Idols" 2013 List

1. Carrie Underwood - $31 million
2. Kelly Clarkson - $7 million
3. Phillip Phillips, Adam Lambert - $5 million 
5. Daughtry - $4 million
6. Scotty McCreery - $3 million 
7. Taylor Hicks - $2.5 million
8. Fantasia Barrino, Kellie Pickler - $1.5 million 
10. Katharine McPhee, Jennifer Hudson - $1 million

Under the umbrelar of kassiba celebrity blog we congratulate you madam.

Jennifer Lopez is not only back on American Idol, but back with new music as well!




january 16/1/2014

Jennifer Lopez is not only back on American Idol, but back with new music as well!
The singer released a 46 second teaser video Sunday night for track “Same Girl” and has left fans wanting more.
And we’re in luck because Jennifer revealed to On Air with Ryan Seacrest she’s working on finalizing her album.
So what’s the deal with the snippet we heard of “Same Girl”?
Jennifer shares: “This was just something I was doing for the fans. It’s not a first single or anything like that. But the song is about getting back to your roots and remembering where you’re from and I think we captured that in the video too.”(By Sierra Marquina) 

Vatican kujieleza kuhusu kashfa za ngono

 

Maafisa katika Vatican makao makuu ya kanisa katoliki, wanatarajariwa kuhojiwa na maafisa wa Umoja wa Mataifa kuhusu dhuluma za kingono ambazo makasisi wa kanisa hilo waliwatendea maelfu ya watoto.
Maafisa hao walikataa ombi la awali ambapo Umoja wa Mataifa ulikuwa unataka taarifa za kina kuhusu dhuluma za kingono wakisema kuwa visa hivyo vinapaswa kushughulikiwa na idara ya mahakama katika mataifa ambako visa hivyo vilitokea.

Papa Francis amesema kuwa ni jambo muhimu kukabiliana na visa kama hivyo ili kanisa liweze kupata sifa yake nzuri.
Kanisa hilo limekosolewa kwa kukosa kuchukua hatua za kutosha kuhusiana na madai ya dhuluma za kingono kanisani.
Mwezi jana, Papa Francis alitangaza kubuni kamati ya kukabiliana na visa vya dhuluma za kingono dhidi ya watoto kanisani pamoja na kutoa ushauri nasaha kwa waathiriwa.
Pia alitilia mkazo sheria kadhaa za kukabiliana na watuhumiwa wa dhuluma za kingono na kupanua zaidi maana ya uhalifu.

Kashfa katika kanisa katoliki

Ujerumani-Kasisi aliyejulikana akama Andreas L, alikiri mwaka 2012 kuwa aliwalawiti, watoto watatu wa kiume.
Marekani – ufichuzi kuhusu makasisi wawili Paul Shanley na John Geoghan waliowalawiti watoto mapema miaka ya tisini ,iliwaghadhabisha watu wengi sana.
Ubelgiji - Askofu Bruges, Roger Vangheluwe, alijiuzulu Aprili mwaka 2010 baada ya kukiri kuwalawiti watoto wavulana kwa miaka mingi
Italy – Kanisa katoliki mnamo mwaka 2010 ilikiri kuwa visa 100 vya makasisi kuwalawiti watoto viliripotiwa kwa zaidi ya miaka kumi
Ireland – Ripoti iliyotolewa mwaka 2009 iligundua kuwa visa vya makasisi kuwalawiti watoto vilitokea sana mapema karne ya ishirini.

KAGAME MAMBO MAGUMU:Chama cha aliekua waziri mkuu wa Rwanda chaungana FDLR

 
Waziri Mkuu wa zamani nchini Rwanda Faustin Twagiramungu aishiye uhamishoni amesema chama chake cha Rwanda Dream Initiative kimeungana na waasi wa Kihutu wa FDLR walioko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Twagiramungu ameshirikiana pia na chama cha PS Imberakuri cha Bwana Bernard Ntaganda aliye kifungoni kwa tuhuma za kujenga chuki na utengano nchini rwanda.

Lengo la muungano huo kwa mujibu wa Twagiramungu ni kuruhusu wakimbizi wote wa Rwanda kurudi nyumbani pamoja na vyama vingine vya upinzani viliyoko uhamishoni ili kuiomba Jumuiya ya kimataifa ishinikize serikali ya rais Paul Kagame kuandaa mazungumzo ya kitaifa na wapinzani wake.
“Sasa ni wakati wa kukomesha propaganda ya Kigali hususan ya Kagame, ambae anatumia mauwaji ya kimbari kwa kumnyooshea kila mtu eti amefanya mauwaji hayo.
Nafikiri kuwa wanyarwanda waliokimbia tangu mwaka 1996 na waishio kwenye misitu ya Congo hawakutekeleza mauwaji hayo. Katika Muungano huu, tunataka Jumuiya ya Kimataifa itusaidie tuanze mazungumzo na serikali ya Kigali, hatuwezi kuendelea hivi, nadhani ikiwa kuna wahalifu ndani ya misitu ya Kongo, wapo pia waalifu nchini Rwanda” amesema Twagiramungu.
Hayo yakijiri, msemaji wa polisi nchini Msumbuji Joao Machava ameekanusha jana taarifa za polisi kuwatia nguvuni raia 4 wa Rwanda wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa idara ya ujasusi nchini Rwanda Patrick Karegeya aliyeuawa mwanzoni mwa mwaka huu.
Taarifa hii ya jeshi la Polisi imekuja kukanusha ripoti iliochapishwa kwenye vyombo vya habari nchini humo kwamba polisi imewatia nguvuni watu 4 wanaoshukiwa kuhusika na kifo cha Patrick Karegeya nchini Afrika Kusini.
Mwili wa Karegeya ulikutwa ndani ya chumba kimoja cha Hoteli jijini Johanesbourg huku kukiwa na ishara ya kuuawa kwa kunyongwa.

Polisi watuhumiwa kuvusha wahamiaji haramu





Dar es Salaam: Polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam, wanatajwa kuwa wahusika wakuu wa kusaidia wahamiaji haramu kuingia nchini, kinyume cha sheria.
Septemba mwaka jana, mfanyakazi wa Wakala wa Ndege za Serikali, Dominic Bomani alimwambia Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alipotembelea uwanjani hapo kuwa wapo wahamiaji haramu ambao wamepewa nafasi nyeti za ajira katika uwanja huo. Dk Mwakyembe aliahidi kufuatilia suala hilo.
Uchunguzi wa Mwananchi umebaini kuwa polisi katika baadhi ya viwanja vya ndege wamejenga mtandao na watumishi wengine, wakiwamo wa Idara ya Uhamiaji ambao huwawezesha raia wa kigeni hasa kutoka nchi za Ethiopia, Somalia na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), kuingia nchini bila ya kuwa na nyaraka zinazokubalika kisheria.
Tukio la karibuni zaidi ni lile la kuingizwa nchini kwa raia watatu wa Pakistani ambao licha ya kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa zamani (Terminal – I) kutokana na kutokuwa na hati za kusafiria, wala nyaraka zozote zinazowaruhusu kuingia nchini, baadaye waliachiwa na kuingia nchini katika mazingira ya kutatanisha.
Chanzo chetu uwanjani hapo kilisema: “Hawakuja na hati za kusafiria wala nyaraka zozote na waliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha.”
Chanzo hicho kiliwataja Wapakistani hao kuwa ni Hussein Amir, Ahmad Tahmir na Shakeel Muhamadadi ambao walifika nchini, Oktoba Mosi, 2013 saa kumi na moja jioni kwa ndege ndogo ya kukodi ambayo ilikuwa ikitokea Zanzibar.
Baada ya kufika, walishukia Terminal 1 na baadaye kwenda kuswali katika msikiti wa karibu, lakini kabla ya kutimiza azma yao hiyo, walikamatwa na polisi kisha kufunguliwa hati ya kukamatwa (RB) namba JNIA/1005/2013.
Mapema baada ya kuwasili kwao, wageni hao walipokewa na Dereva Teksi, Shami Maringo ambaye alikiri kwamba aliagizwa kuwapokea, lakini kabla ya kuanza safari waliomba kwenda msikitini kuswali kwa sababu ilikuwa tayari ni saa 12:00 jioni.
Maringo alisema aliwapokea raia hao watatu baada ya kupewa majina yao na Mtanzania mwenye asili ya Asia ambaye alimwambia baada ya kuwapokea awapeleke Kariakoo.
“Nilipewa majina matatu kwenye karatasi na mhindi mmoja, nikaambiwa hao watu watafika saa 10 jioni. Walipofika nikawatambua lakini tulikamatwa,” alisema Maringo.
Maringo pia alikamatwa na kuambiwa kuwa ataachiwa baada ya mtu aliyemwagiza kuwapokea raia hao atakapofika.
Alisema siku ya pili asubuhi, mtu huyo ambaye hata hivyo, alisema hamfahamu kwa jina, alifika polisi na Maringo pamoja na raia hao waliachiwa huru. Maringo anasema hakuweza tena kuwapeleka kwa sababu gari lake lilipata pancha.

Wednesday, January 15, 2014

MESSI VOWS TO BE FIT AGAINST MAN CITY.

461283557dr013_fc_barcelona_crop_north

Lionel Messi has vowed to be 100 percent fit by the time Barcelona take on Manchester City in the Champions League.
Messi is quoted saying by Anthony Kastrinakis of the Sun (h/t Richard Jolly of ESPN FC):
I’ve not yet played a full game. Surely with the rhythm of more games I play and as time goes by I will be at my 100 percent in a few weeks and certainly expect to be at my best when we face City.
Barcelona is always aspiring to win the biggest titles as it is such a big club and has to fight for every trophy.

Tuesday, January 14, 2014

LOOK OUT FEW WORDS ABOUT LIL WAYNE...................


Lil WayneDwayne Michael Carter, Jr., known by his stage name Lil Wayne, is an American hip hop recording artist from New Orleans, Louisiana. In 1991, at the age of nine, Lil Wayne joined Cash Money Records as the youngest...wikipedia.org

PHOTOS OF TWO WINNERS OF 2013

                  
    Cristiano Ronaldo couldn't hide how much it meant to him, finally being voted the world's best soccer player again. Having spent four years in the shadow

Shakira Talks Working With Rihanna & Gushes Over Boyfriend Gerard



Shakira phoned into On Air with Ryan Seacrest this morning after premiering her new track featuring Rihanna, “Can’t Remember to Forget You.”
The songstress reveals that when it came to collaborating with RiRi she was nervous at first that it wouldn’t be able to happen.
“We’re both from the Caribbean, so I always thought we had this common ground and this song is pretty reggae, but it also has that rock attitude that I think Rihanna has, so that’s why I thought she was the natural choice for collaboration on this record, but I also thought it was a little bit of a challenge to get her to record this track because she’s so busy,” Shakira admits. ”I honestly thought it’d never happen, but I said, ‘I’m going to send it to her and see what happens.’ And she heard the record and she loved it and she said she was on board and I was the happiest girl alive!”
The Voice coach explains the hit new track “is about that guy that gets under your skin that you can’t leave alone and I think that every woman has been through that …we can relate … but this song is not exactly a reflection of my life right now.”
In fact, it’s the opposite of Shakira’s current life right now with boyfriend Gerard Piqué, with whom she has a baby boy, Milan.
“I’m in a very good place in my life right now personally and emotionally,” She gushes. “I have a very good relationship with Gerard and now with my son, so I’m going through a completely different experience right now in relation to the song.”
When it comes to Gerard, she goes on to gush about his fit physique. ”He’s got this body, he looks like an avatar, he’s so tall! In the morning when I’m in bed and I see him get up from bed and he’s so long he looks like an avatar in my room. I’m like, ‘Oh my god, I’m doing good!’”
Shakira, who is working on finalizing her album and anticipating a March release, is also set to be a judge again on the upcoming season of NBC’s The Voice and this time around she’s bringing on Miranda Lambert as a mentor.
So how does Blake Shelton feel about Shakira working with his wife?
“I don’t know, but I don’t care much, you know?,” Shaira laughs. “I’m excited to come back and I need to take down Blake Shelton. I have this new strategy designed only to take him down. I’m so lucky I have his wife now on my side.”
And if you’re wondering if Rihanna will join Shakira on stage for a performance this season she says, “You never know, but that’d be cool.”( By Sierra Marquina)

PHOTOS: Beyonce & Solange Host Masquerade Party for Mom Tina's Birthday


Beyoncé and Solange Knowles hosted a star-studded masquerade party for their mom Tina’s birthday on Saturday.

Jay Z, Kelly Rowland, Jennifer Hudson, Kris Jenner, Monica, and more celeb pals attended the bash at Muriel’s Jackson Square in New

Red Hot Chili Peppers Joining Super Bowl Halftime Show

Jan 13, 2014 yesterday
The Red Hot Chili Peppers are set to bring some rock n roll to the halftime show at the Super Bowl in New Jersey next month. 
The NFL released a statement confirming that the Grammy-winning group will be joining headliner Bruno Mars on stage during Mars much-anticipated performance.  The news was first announced during the Saturday Fox broadcast of the New Orleans Saints and Seattle Seahawks game. 
According to "The Hollywood Reporter," the Chili Peppers were already scheduled to be in the area, performing at a pre-Super Bowl show at the Barclays Center the night before the game.  It has yet to revealed whether or not the group will play its own songs, or back Bruno for his set. 
The Super Bowl is set to air on February 2nd on Fox.

Monday, January 13, 2014

10 Ways To Improve Your Marriage Right Now

marriage adviceMarriage is not easy. When you've seen people who make it 10, 15, and 30 years together, you know you are looking at two people who have fought, compromised, and stayed committed to one another through a lot. There's a lot to be learned from these people.
But marriages don't fail from big problems, at least not all the time. Very often, people end up splitting over the small things, especially once the small things add up.
With this in mind, I asked around for advice, small ways that people can improve their love and their marriage today. This doesn't include therapy or major sucking up or any major effort on the part of anyone. These are small things that can make a big difference. So here are 10 important ways you can improve your marriage right now.
Apologize when you are wrong: Forget pride. If you realize you are wrong in a fight, admit it and say you are sorry. It will make a world of difference in terms of staying close.
Imagine the other person gone during a fight: There is no better way to stop a fight than to imagine losing or missing the other person. That sadness? That tightness in your chest? That's the love you feel for them.
Laugh more: For me, this is the biggest secret to 10 years of marriage. My husband and I crack each other up. We roll on the floor laughing and genuinely enjoy each other's company. This is what keeps us strong.
Arrange weekly meetings: If you have young kids and two careers, there is nothing more important than having weekly "meetings." It may not be romantic, but neither is nagging, and this curbs that a lot. From a friend who has started them: "It has been very helpful from a practical side of just getting through everyday life as a team." Amen.
Schedule sex: It's not romantic, but in our busy lives, it's necessary. Pencil that shite in, because you know what's less romantic? A sexless marriage.
Talk about the little things: Talk about the big things, but also discuss the little things. Talk and then talk some more. The more you talk, the more you learn.
Have your own life: No one likes someone with no friends. So get hobbies. Get friends. Get a life! Now! It will make your spouse appreciate you more.
Remember to thank the other person: It's true. However small it seems, remember to say thanks for small things, even if they are expected. "Hey, thanks for making dinner tonight." It creates a lot of goodwill and helps each person feel appreciated.
Stop yelling: No one is suggesting you stop fighting. Some fights are needed. But stop yelling. And name calling. And fighting dirty. Trust me.
Hold hands: Even when you are mad at each other, just touch. Whether it's in bed or out of bed. Sometimes the simple act of touching one another can help curb angry feelings

SIMPLE WAY TOCREAT SUCCESFUL MARRIAGE


Couple Sex1. Talk frequently and honestly to each other—about your frustrations, about sex, about anger, about disappointment, about your appreciation of each other, about the meaning of life, about everything.

2. Strive to work together to solve anything that comes up -- be a team, a partnership. Don't get stuck on who's right or wrong. Focus on what will solve the problem.
3. Keep your connection going through communication, sex, affection, understanding and concern for each other.
4. Have a sense of humor; give the benefit of the doubt, care about each other.
When your relationship lasts for a while, your lovemaking will change. As you get closer, passion no longer grows automatically out of the excitement of the new and unknown.
Rather than allowing your energy to subside, you can allow your lovemaking to change and grow, deepening as your partnership does. Couples who develop a"sexual repertoire which includes a variety of sexual habits, attitudes and options report feeling more satisfaction and freedom to express their love with enough variety that they never get bored. These suggestions will help you create a variety of experiences together.
Quickies: These are ways you have sex when you don't really have time for a full, leisurely romantic evening: One of you giving oral sex before you leave for work, petting to climax in the car at a drive-in movie, using vibrators to have orgasms without a lot of foreplay late at night, taking a nap and having a "quickie" before rushing off to a party.
Sneaky Sex: This has the added excitement of "forbidden fruit" -- having silent sex behind locked doors while the children are watching TV, sneaking lovemaking in your childhood bedroom while visiting your parents, visiting your partner at work and having quickie sex on the couch in a locked office.
Romantic Sex: This is the full-blown variety: candlelight, dinner, quiet talking, dressing up, perhaps a lovely hotel room, or a romantic dinner for two when you have time alone at home. Especially good for anniversaries, Valentine's Day, or anytime your relationship needs a boost.
New Couple Sex: Recreate a scene from your dating days, as closely as possible -- the time you met at church and couldn't wait to get home and make love, the flowers you used to bring home as a surprise, or saying all the silly, wildly in-love things you said then.
Making-up Sex: After you've had an argument or a struggle, and forgiven each other, lovemaking can be extra tender and memorable.
Comforting Sex: When one of you is sad or stressed, the other is especially caring and soothing, doing all your favorite things to comfort and relax you.
Relaxing Sex: This is the kind to do on a weekend morning, when you have no obligations, and can laze around, have breakfast in bed, and make love for as long as you want; no pressure, no hurry and no demands on each other.
Reassuring Sex This is affection and intimacy intended to reassure a partner who is temporarily insecure, or designed to reaffirm your mutual love and commitment to each other. It is often accompanied by many verbal declarations of love and explaining again why you are so important to each other.
Fantasy Sex: Act out all the silly, forbidden or exciting fantasies -- nurse and patient, two little children "playing house", master or dominatrix and slave, stripper and customer, extraterrestrial alien and abductee, famous movie star and adoring fan, your two favorite characters from a soap opera, novel or movie, or anything else you can imagine. This is a great time for costumes, masks, sexual toys, leather outfits, or whatever enhancements you enjoy.
(Tina Tessina, Ph.D.)

DO you know this FIFA U-20 Women’s World Cup Canada 2014 Venue Pack Ticket Information?


FIFA U-20 Women’s World Cup tickets go on saleCanada is getting ready to host the FIFA U-20 Women’s World Cup Canada 2014 competition so don’t miss your chance to see the future stars of the beautiful game.

Venue pack tickets for the FIFA U-20 Women’s World Cup Canada 2014 are now available for purchase on a first come, first serve basis by clicking the purchase button located at the bottom of the page. Visa is the preferred payment method of the FIFA U-20 Women’s World Cup Canada 2014.
Fans purchasing venue packs will save up to 20%, with groups and clubs of 11 or more individuals offered venue pack savings of up to 30% off regular individual match ticket prices.
Groups and Clubs not only have access to special group prices but will be given the ability to sit together and cheer on their favourite team at the matches. Limited quantities of Group/Club Venue Pack tickets are available and will be processed on a first come, first serve basis. To submit your request, please fill out the FIFA U-20 Women's World Cup Canada 2014 Group/Club Request form

Sunday, January 12, 2014

Hilary Duff and Mike Comrie split

Listen to Hilary Duff on iHeartRadio
Hilary Duff and her huspand Mike Comrie have called it quits.
A rep for the actress confirmed the news to "People" that they "have mutually decided [upon] an amicable separation." In a statment, the rep says:
"They remain best friends and will continue to be in each others lives. They are dedicated to loving and parenting their amazing son, and ask for privacy at this time."
Hilary took to Twitter to thank her fans for all of their well wishes and support:

PHOTO: Jennifer Lawrences epic red carpet interview-bomb


Anything can happen on the red carpet, and this years Golden Globes produced one of the most epic interview-bombs ever thanks to Jennifer Lawrence.

As Taylor Swift was talking to Ryan Seacrest on the red carpet, Jennifer was walking right behind their interview when she took advantage of creating one of the best photos of the awards show.
Never change Jennifer, you are amzing.

Naya Rivera Strikes it Hot as a Blonde


Of course, the big question is, will the newly engaged star keep the blond locks for her upcoming wedding to fiancé Big Sean?

Yahoo!) - Watch out world, theres a new blonde in Hollywood!
Naya Rivera, 26, swapped her typically long dark locks for shoulder-length, honey-blond tresses, which she debuted at the Peoples Choice Awards on Wednesday.
The "Glee" actress turned heads as she strutted down the red carpet in a form-fitting Michael Kors dress, which featured tan, white, and black panels. The hot frock perfectly complemented her new coif, which she styled with a dramatic sideswept part and voluminous loose curls.
Rivera and her "Glee" co-star, Lea Michele, nabbed a Peoples Choice Award for Favorite TV Gal Pals.
While this is the first time weve seen Naya take a walk on the lighter side, shes certainly not afraid to experiment with her hair. The actress has played with length, and has also tried out bangs.
Yahoo!) - Watch out world, theres a new blonde in Hollywood!
Naya Rivera, 26, swapped her typically long dark locks for shoulder-length, honey-blond tresses, which she debuted at the Peoples Choice Awards on Wednesday.
The "Glee" actress turned heads as she strutted down the red carpet in a form-fitting Michael Kors dress, which featured tan, white, and black panels. The hot frock perfectly complemented her new coif, which she styled with a dramatic sideswept part and voluminous loose curls.
Rivera and her "Glee" co-star, Lea Michele, nabbed a Peoples Choice Award for Favorite TV Gal Pals.
While this is the first time weve seen Naya take a walk on the lighter side, shes certainly not afraid to experiment with her hair. The actress has played with length, and has also tried out bangs.
Of course, the big question is, will the newly engaged star keep the blond locks for her upcoming wedding to fiancé Big Sean?

WATCH: Drake Sings Karaoke to Kanye West’s ‘Heartless’




By Loanthy Cu
Looks like Drizzy is a Yeezus fan!
After a couple of months being on the road for his North American Would You Like a Tour? tour, Drake took some much-needed time off with a night out with his crew at a karaoke lounge recently.
In an Instagram video the rapper posted, he can be seen belting out to Kanye West‘s 2008 single, “Heartless“… complete with some dance moves. Check it out:

Newly-Single Kelly Osbourne Makes Street Art With Justin Bieber



Jan 10, 2014




The same day she announced her split from fiancé Matthew Mosshart, Kelly Osbourne turned to art therapy as a means of dealing with the heartbreak!
On Wednesday, the Fashion Police star posted two pictures to her Instagram of herself spray-painting with none other than Justin Bieber. “Just had so much fun getting lessons from @justinbieber on how to #SprayPaint!” she captioned one of her photos.
Kelly and the teen heartthrob posed with their art and she even admitted that Justin turned her into “a true Belieber” after the spray-paint session(www.kassiba1.bolgspot.com)

Shakira Reveals Cover Art For Rihanna Collab


 

Jan 9, 2014

 Less than a week to go before Shakira and Rihanna reveal their highly anticipated collaboration together, "Cant Remember To Forget You."
To help get fans even more excited than they already are, Shakira has revealed the stunning cover art to the single on her Facebook page!you may fallow also our new blog www.kassiba1.blogspot.com

Shakira Reveals Cover Art For Rihanna Collab

Saturday, January 11, 2014

CHAN OPENING:SOUTH AFRICA FACES MOZAMBIQUE TODAY.

=
Gordon Igesund (head coach) of South Africa chats to his players during a training session
South Africa and Mozambique will kick-off the 2014 African Nations Championship when they clash in the Group A opener at Cape Town Stadium on Saturday, 18h00 CAT.

The host nation’s team has not had ideal preparation according to coach Gordon Igesund, who has had to wrangle over the availability of players from domestic clubs and deal with the injury-enforced withdrawal of first-choice left-back Tsepo Masilela.

In addition, Bafana were unable to organise a friendly/practice match against a fellow CHAN team early in the week, though at the time of writing they were planning a game against a local side in order to get some much-needed playing time under their belts.

The good news for Igesund is that South Africa have a 100 percent record against Mozambique in official international matches, having won all four of the matches in which the teams have crossed swords.

While the competition rules stipulate that teams may only choose players who are based domestically, this match will be relatively close to being a ‘full’ international, as both sides pick predominantly from their local leagues anyway.

Mambas coach Joao Chissano has been able to select a fairly experienced team that is not far off being full strength. It includes the likes of experienced defender Dario Khan as well as Almiro Lobo, who will be well aware of conditions in South Africa having played for Bidvest Wits and Platinum Stars in the PSL.

The Mozambicans have also been able to get in a couple of friendly matches in Johannesburg ahead of flying down to Cape Town for the opening match, so they could well be sharper and better drilled than their hosts.

Yet, with home support and an ability to call upon hugely experienced players such as Itumeleng Khune, Siphiwe Tshabalala and Bernard Parker – who all have more than 60 caps under their belt – Bafana Bafana will be the favourites to pick up the three points.

And given that the hosts must face ‘unknown’ quantities in Mali and Nigeria – teams who they have traditionally struggled against – it is vital for Igesund and his charges that they come out on top on Saturday in this key opening match.
 

CHELSEA YAIUA HULL CITY NYUMBANI NA KUJIKITA KILELENI!




London-Uingereza, Timu ya chelsea chini ya kocha Jose Mourinho imepanda kileleni mwa ligu kuu ya Baclays baada ya Leo hii kuifunga Hull City kwa mabao 2-0,wafungaji wakiwa ni Eden Hazards na Fernando Tores wote wakifunga katika kipindi cha pili.
Goli  la pili la Chelsea
 Mechi hiyo ilianza kupata msisimko katika dakika 23 pale kipa wa Chelsea Petr Cech alipofanya kazi ya ziada kuokoa mpira ambao almanusura uwapatie hull city bao la kuongoza.

Chelsea walipata bao lakuongoza katika dakika ya dakika ya 11 baada ya kipindi cha pili kupitia mchezaji wake Eden Hazard aliyemalizia pasi nzuri kutoka kwa Ashley Cole, ambapo alipiga shuti la chini chini katika kona na mpira kujaa nyavuni.
Goli la pili la Chelsea lilifungwa na Tores katika dakika ya 87 akionesha umahiri katika kugeuka na kupiga shuti la ambalo lilimshinda kipa wa Hull City.

Kwa matokeo  hayo Chelsea wamefikisha pointi 46 na kupanda mpaka nafasi ya kwanza huku ufalme wao katika nafasi hiyo ukitegemea matokeo ya Arsenal na Manchester city ambazo zipo nyuma kwa mchezo mmoja.

Friday, January 10, 2014

Jermain Defoe Officially Completes Transfer to Toronto FC from Tottenham









Toronto FC have completed a huge move to bring Tottenham forward Jermain Defoe to Major League Soccer in a deal that takes effect on Feb. 28.

The official Tottenham Hotspur Twitter account announced the news on Friday morning:

Spurs' official website provided Defoe's views on his move:


Everybody knows how much this club means to me and I will play my heart out for the team and the fans until my last kick for the club. I have had a fantastic time here and the fans have always been amazing to me.

I am grateful for the opportunity for myself and my family to experience living overseas and for me to play in the MLS with a contract that will take me to the age of 35. I have no doubt I shall be coming back as a fan supporting the team in the years to come too.

Grant Wahl of Sports Illustrated previously reported that a deal was close, but the transfer was put in some doubt thanks to a host of top-class competition, per James Dickenson of the Express.

Defoe has been with Tottenham since coming over from West Ham United in the 2003-04 season. He spent the next 10 seasons contributing at a high level for the Spurs attack.



KCC YAICHAPA AZAM FC KOMBE LA MAPINDUZI, YAIFUNGA MABAO 3-2.



David Mwantika na Kipre Tchetche wakimpongeza Joseph Kimwaga baada ya kuifungia Azam bao...




 
 
 
 
Three players to watch:

Siyanda Ngubo – ana mkataba na Orlando Pirates, Ngubo ndiyeContracted to Orlando Pirates, Ngubo was Amajita’s leading scorer at the 2013 COSAFA U-20 tournament with three goals. The youngster will be hoping to make the step up to the U-23s and the Buccaneers’ first team in the not-too-distant future, and his performances will have done his ambitions no harm whatsoever.

Ayabulela Magqwaka – Amajita’s captain and top performer at the COSAFA U-20 tournament. The defender is contracted to Ajax Cape Town but the University of Pretoria are reportedly closing in on a deal to sign the player in the January transfer window. Magqwaka could well be featuring regularly in the PSL within the next few months.

Jody February/Dumisani Msibi – The two goalkeepers who did duty for Amajita in the tournament and didn’t concede a goal between them. The former had most of the playing time but was sent off in the semifinal against Zimbabwe, while the latter came on as a sub and proceeded to make several fine stops to help his team to the final.

CAF Awards: Yaya runaway winner


Yaya king again!
Yaya Toure was a runaway winner of the 2013 CAF Player of the Year Award, according to a detailed result released by CAF.

The 31-year-old Ivorian powerhouse won his third straight award on Thursday after he polled a total of 373 points.

Mikel Obi was second on 265 points with Drogba third with 236 points.

Only coaches of Nigeria, Sudan, Zambia and Libya voted Mikel as their best player of the past year.

This was against the 28 national team coaches who voted Yaya as their best player.

Two players tied in fourth place – Jonathan Pitriopa of Burkina Faso and Pierre Aubameyang – after they totalled 202 points each.

The other Nigeria stars in the top 10 of nominees were Vincent Enyeama (199 points, sixth), Emmanuel Emenike (191, seventh) and Ahmed Musa (181, ninth).

Copa Del Rey: Madrid yashinda 2-0 dhidi ya Osasuna.

461457113ga004_real_madrid__crop_north
Madrid, Hispania, 
Karim Benzema na Jese Rodriguez waliifungia Real Madrid Hapo jana na kuipa ushindi wa bao 2-0 dhidi Osasuna katika mechi ya kwanza ya Copa Del Rey raundi ya 16.

Benzema ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungia Real Madrid dakika ya 19 kupitia mpira wa kichwa, wakati Jese alihitimisha ushindi huo kwa bao la pili baada ya uzembe wa mabeki.
Ushindi huo umeipa faida Real Madrid katika mechi ya marudiano ambayo itapigwa Jumatano Ijayo
 

Justin Timberlake & Britney Spears Among People's Choice Winners

Jan 9, 2014



Justin Timberlake is adding three more Peoples Choice Awards to his collection.  On Wednesday night, the star was on hand to pick up the fan-voted award for Favorite Album for The 20/20 Experience.  He closed his speech with a word of relationship advice.

Thursday, January 9, 2014

Shakira Describes Working With Rihanna As 'Utopia'


 
Shakira and Rihanna have officially confirmed they’re releasing a single titled “Can’t Remember to Forget” together and according to Shakira, the experience was amazing.

In fact, the “Hips Don’t Lie” singer described the experience as “utopia.”
Shakira revealed in an interview with Glamour magazine: “Working with her was utopia. She’s the sexiest woman on the planet. And at the end of the day, we’re both just basically Caribbean girls. The chemistry was so good and so real. She taught me dance moves. She was a sweet teacher.”

BARCLAYS PREMIER LEAGUE TEAMS & THEIR MANAGERS 2013/2014



The forthcoming season is going to be a battle and many of us can’t wait for it to start already. Here is a list of the managers for the new season.

Arsenal- Arsene Wenger
Aston Villa- Paul Lambert
Cardiff City- Malky Mackay *vacant at the moment
Chelsea- Jose Mourinho
Crystal Palace- Ian Holloway
Everton- Roberto Martinez
Fulham- Martin Jol * replaced by René Meulensteen
Hull City- Steve Bruce
Liverpool- Brendan Rodgers
Manchester City- Manuel Pellegrini
Manchester United- David Moyes
Newcastle United- Alan Pardew
Norwich City- Chris Haughton
Southampton- Mauricio Pochettino
Stoke City- Mark Hughes
Sunderland- Paolo Di Canio * Gus Poyet is now manager
Swansea City- Michael Laudrup
Tottenham Hotspur- Andre Villas-Boas * Tim Sherwood is new manager
West Bromwich Albion- Steve Clarke
West Ham United- Sam Allardyce

Coachella Lineup Announced!


Coachella, one of America's most famous festivals, has revealed their lineup for 2014!

Arcade Fire, Muse, and Outkast are set to headline the annual music and arts festival in Indio, California, and the rest of the lineup boasts tons of artists that span across several different music genres.
Arcade Fire and Muse have become festival favorites these days, but Coachella 2014 will be the first gig for a reunited OutKast in nearly seven years.
Other scheduled performers include Lorde, Queens of the Stone Age, the Replacements, Beck, Haim, Pet Shop Boys, Foster the People, Calvin Harris, Motorhead, and many more.