Monday, February 11, 2013

FAINALI ZA AFCON-Nigeria Bingwa!-matukio katika Picha.

http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJMN0302w-1360577558.jpg
http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJBA4117w-1360532990.jpg
http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJGB5070w-1360577389.jpg
JJ Okocha ,Kanu wakiwa na kocha Steven Keshi      
http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJBA4294w-1360532990.jpg
Kocha Steven Keshi Shujaa wa Nigeria.
http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJAL1434w-1360533288.jpg
http://www.mtnfootball.com/live/phase2/photo_admin/Upload/B13BJAL1459w-1360533289.jpg

JOHANESBURG-AFRIKA KUSINI,Nigeria wamenyakua kombe la mataifa ya Afrika baada ya miaka 19 baada ya kuwafunga Burkina Faso katika fainali za kombe hilo zilizofanyika uwanja wa taifa huko Johannesburg Afrika kusini.



Nigeria wakicheza kwa mara ya 7 katika fainali hizo walipata gilo la kuongoza katika dakika ya 40 kupitia mchezaji wake maahiri wa kulipwa Sunday Mba, ambapo walifanikiwa kuulinda ushindi huo mpaka mwisho wa mchezo.

ushindi huo umekuwa shangwe kubwa kwa wanigeria na hasa kocha wa timu hiyo Steven Keshi ambaye ameandika rekodi ya kuwa kochawa pili barani Afrika kushinda fainali hizo akiwa kama mchezaji na baadaye kocha.

 Burkina Fasso kwa upande wao licha ya kushindwa watapaswa kujivunia kiwango bora ambacho kimewasaidia kufika fainali hizo kwa mara ya kwanza.

No comments:

Post a Comment