Monday, March 10, 2014

Orodha ya Wanasoka 10 tajiri duniani, etoo' no.3.

Ni miongoni mwa zile stori ambazo mashabiki wengi hupenda kuzifahamu au hata kuziongelea kwenye vijiwe mbalimbali lakini uhakika umetolewa na mtandao unaodili na stori za soka kwa sana.
Katika listi hiyo iliyotajwa leo, Ronaldo amemrithi David Beckham ambaye alistaafu soka mwishoni mwa msimu uliopita ambapo Ronaldo ana utajiri wa paundi millioni 122.
Lionel Messi ameshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa paundi millioni 120, nafasi ya tatu imekamatwa na muafrika pekee kwenye listi hii ambae ni Samuel Etoo mwenye utajiri wa paundi millioni 70, Rooney anafatia kwa utajiri wa paundi millioni 69 huku Kaka akishika nafasi ya 5 kwa utajiri wa paundi millioni 67.
Listi inaendelea kama ifuatavyo
players copy

Chanzo:millardayo.com













No comments:

Post a Comment