Sunday, April 8, 2012

LEMA AVULIWA UBUNGE ARUSHA.

                        ARUSHA,
Mahakama kuu ya Kanda Mjini Arusha imetengua matokeo ya ubunge katika jimbo la Arusha na kumvua rasmi Ubunge mbunge wa sasa wa Jimbo hilo ndugu Godbless Lema kwa makosa ya Udhalilishaji, kashfa dhidi ya Mpinzani mwenzake wa Chama Cha Mapinduzi Dk.Batilda Burian.Baada ya kusomwa hukumu hiyo vilio vilisikika ndani ya mahakama hiyo.


Mpaka sasa haijafahamika nini uamuzi wa Mbunge huyo na Chama Chake kwani kwa mujibu wa Jaji Gabriel aliyesoma hukumu hiyo Lema ana haki ya kukata rufaa.

No comments:

Post a Comment